Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali tete uhusiano Kenya, Tanzania

>Mgogoro unaofukuta kati ya Tanzania na Kenya umefikia hatua mbaya baada ya juzi usiku kikao cha makatibu  wakuu wa Wizara za Maliasili na Utalii, Wizara za Afrika Mashariki za pande zote mbili kuvunjika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Balozi za Tanzania nje hali tete

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Kidawa Hamid Saleh amesema majengo ya ofisi nyingi za balozi za Tanzania nje ya nchi, zinahitaji ukarabati au kujengwa upya kwa sababu yaliyopo sasa ni mabovu na ni hatari kwa maisha ya watu.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali tete Msimbazi

Uongozi wa Klabu ya Simba umeingia katika mgogoro wa kisheria na wachezaji wake 10 baada ya kuvunja mikataba yao na kuwapa barua ili wasajiliwe na timu nyingine msimu ujao.

 

10 years ago

Mtanzania

HALI TETE BURUNDI

Rais wa Burundiwananchi wa BurundiWaandishi Wetu, Bujumbura na Dar
JARIBIO la mapinduzi lilifanyika jana nchini Burundi kumpindua Rais Pierre Nkurunzinza kupinga mpango wake wa kugombea urais kwa muhula wa tatu.
Maelfu ya watu walimiminika katika mitaa ya mji mkuu wa taifa hilo, Bujumbura, kushangilia tangazo la mapinduzi lililotolewa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Hata hivyo, matokeo ya mapinduzi hayo yalikuwa mbali na uhalisia.
Uamuzi wa Jenerali Niyombareh ambaye alitimuliwa na Nkurunzinza kama mkuu wa usalama...

 

10 years ago

Raia Mwema

Hali tete TanzaniteOne

HALI ya mambo si shwari ndani ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya TanzaniteOne, iliyo

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mtanzania

Hali tete Zanzibar

1234Na Is-haka Omar, Zanzibar
HALI ya usalama visiwani Zanzibar imechafuka baada ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuvamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutokana na vurugu hizo, watu 25 waliokuwa wakitokea katika mkutano wa CUF uliokuwa unafanyika Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja wamejeruhiwa, huku wanne kati yao wakilazimika kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio...

 

9 years ago

Raia Mwema

hali tete TanzaniteOne -2

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene mwishoni mwa wiki (Ijumaa iliyopita) alifanya zi

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafungwa Keko hali tete

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimewaweka mahabusu na wafungwa katika Gereza la Keko katika hali ngumu kutokana na gereza hilo kuvuja. Habari kutoka kwa askari magereza wa gereza...

 

11 years ago

Mwananchi

Hali tete baraza la mawaziri

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete, imeanza kuwahoji mawaziri waliotajwa ni ‘mzigo’ kwa Serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali bado ni tete Burundi

Polisi waaminifu kwa rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza wanaendelea na misako dhidi ya watu wanoshukiwa kuwa ''wasaliti''

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani