Hali ya Mbunge Kiwia yazidi kuwa mbaya
HALI ya Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia (CHADEMA), imeelezwa kuwa mbaya kutokana na kushindwa kupumua kwa kutumia pua na badala yake anatumia mdomo kitendo ambacho ni hatari. Taarifa hiyo imetolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ntzcwVyHerU/UMGzhZIx9yI/AAAAAAAAgOI/oRHSc_DMCYc/s72-c/Chadema+3.jpg)
HALI YA MBUNGE WA UKAWA HIGHNESS KIWIA NI MBAYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ntzcwVyHerU/UMGzhZIx9yI/AAAAAAAAgOI/oRHSc_DMCYc/s640/Chadema+3.jpg)
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Hali yazidi kuwa tete Burundi
BUJUMBURA, BURUNDI
MAANDAMANO yameendelea kwa siku ya tatu jana kwenye mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kupinga uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Watu sita wanadaiwa kuuawa na zaidi ya 24,000 kuikimbia Burundi mwezi huu wakiwamo 5,000 walioingia Rwanda mwishoni mwa wiki iliyopita huku hali tete ikiongezeka kuelekea uchaguzi wa urais utakaofanyika Juni.
Watu walionekana wakichoma moto magurudumu ya magari na kuweka vizuizi barabarani huku polisi wakirusha mabomu...
10 years ago
Habarileo15 May
Hali ya Burundi yazidi kuwa tete
HALI ya Burundi imezidi kuwa tete huku makundi mawili hasimu ya wanajeshi, yamekuwa yakipigana, kila moja likitaka kutawala jiji la Bujumbura.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Hali kuwa mbaya lipumba na kupandishwa mahakaman
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Hali ya kibinadam inaendelea kuwa mbaya-CAR
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Hali yaelezwa kuwa mbaya zaidi Yemen
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0ONyBCD4_A0/XlvfirDBYTI/AAAAAAALgPQ/zazNni1QN6ozj5NmQZosa9GYQtKwBnN0ACLcBGAsYHQ/s72-c/MVUAAAAAAAAAAAAAAA%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Bongo502 Jun
Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6