Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali ya Mbunge Kiwia yazidi kuwa mbaya

HALI ya Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia (CHADEMA), imeelezwa kuwa mbaya kutokana na kushindwa kupumua kwa kutumia pua na badala yake anatumia mdomo kitendo ambacho ni hatari. Taarifa hiyo imetolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HALI YA MBUNGE WA UKAWA HIGHNESS KIWIA NI MBAYA

HALI ya Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia (CHADEMA), imeelezwa kuwa mbaya kutokana na kushindwa kupumua kwa kutumia pua na badala yake anatumia mdomo kitendo ambacho ni hatari.Taarifa hiyo imetolewa jana na Kiongozi wa Operesheni Kanda ya Ziwa Magharibi, Tungaraza Njugu, wakati Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), wakitoa tamko juu ya Polisi kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuhatarisha amani ya nchi.Kiwia, alisafirishwa kwenda India usiku wa Septemba 28 mwaka huu,kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Hali yazidi kuwa tete Burundi

BUJUMBURA, BURUNDI
MAANDAMANO yameendelea kwa siku ya tatu jana kwenye mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kupinga uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Watu sita wanadaiwa kuuawa na zaidi ya 24,000 kuikimbia Burundi mwezi huu wakiwamo 5,000 walioingia Rwanda mwishoni mwa wiki iliyopita huku hali tete ikiongezeka kuelekea uchaguzi wa urais utakaofanyika Juni.
Watu walionekana wakichoma moto magurudumu ya magari na kuweka vizuizi barabarani huku polisi wakirusha mabomu...

 

10 years ago

Habarileo

Hali ya Burundi yazidi kuwa tete

Hali ilivyokuwa katika sehemu ya mji mkuu wa Bujumbura nchini Burundi jana. (Picha na AFP).HALI ya Burundi imezidi kuwa tete huku makundi mawili hasimu ya wanajeshi, yamekuwa yakipigana, kila moja likitaka kutawala jiji la Bujumbura.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali kuwa mbaya lipumba na kupandishwa mahakaman

,Mwenyekiti wa chama cha CUF  Professa Ibrahimu Lipumba na wafuasi wake 22 kukamatwa jana kwenye maandamao yaliyokuwa yakifanyika kuanzia Buguruni makao makuu ya chama hicho kuelekea Temeke na Mbagara Zakhem

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya kibinadam inaendelea kuwa mbaya-CAR

Mashirika ya kutoa msaada yaonya kuwa endapo Waislamu wataendelea kuihama CAR masoko ya nchi hiyo yatasambaratika kabisa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali yaelezwa kuwa mbaya zaidi Yemen

Shirika la kimataifa la Msalaba mwekundu limesema hali ya kibinaadam nchini Yemen inazidi kuzorota

 

10 years ago

Bongo5

Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili, mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mrembo na mwanaharakati wa masuala ya wanawake, Irene Kiwia ni miongoni mwa mastaa watakaozungumza kwenye kongamano la masuala ya masoko litakalofanyika kwenye chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, June 6. Kombamano hilo limeandaliwa na chama cha masoko cha chuo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani