Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali yachafuka Ndanda FC

Saa chache tangu uongozi wa Ndanda FC kumtupia virago kocha wake mkuu, Dennis Kitambi na kocha wa makipa Muharami Mohammedi, katibu mkuu wa timu hiyo, Edmund Njowoka ametangaza kutaka kuachia ngazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HALI YA HEWA YACHAFUKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Semina ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba leo imelazimika kuahairishwa baada ya kuibuka vurugu ndani ya ukumbi wa Bunge.  Zogo hilo liliumuka baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya wajumbe uliosababishwa na kutuhumiana kwamba zipo dalili za upendeleo wanazofanyiwa baadhi ya wajumbe kutokana na sababu za kiitikadi za vyama.  Hali hiyo ya hewa ilichafuka  baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya Mjumbe Mhe. Christopher Ole Sendeka ambaye aliingia katika mvutano na Mjumbe wa Kamati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC, Mbeya City mkubali hali halisi

Ninawakaribisha katika kona hii ya hoja kuzungumza machache kuhusiana na michezo yetu. Tanzania ni nchi yenye watu zaidi ya 45 milioni kwa mujibu wa sensa ya 2012, lakini inashangaza hatuna hata maendeleo katika mchezo wowote.

 

11 years ago

Mwananchi

Taswira ya Tanzania yachafuka nchini Uingereza kwa ujangili

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kwenda London Uingereza kuhudhuria mkutano wa kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani ukianza wiki hii, tatizo la ujangili limeweka wingu zito kwa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

11 years ago

Michuzi

SOKO KUU LA SANYA JUU MKOANI KILIMANJARO HALI SI HALI





Sanya Juu ni mji mdogo ndani ya wilaya Siha Mkoani Kilimanjaro ikiwa ni Km 25 toka Bomang'ombe  na KM 50 toka Moshi Mjini, weekend hii nilifanikiwa kuutembelea Mji wa Sanya Juu ambapo siku ya Jumamosi  mji huu huwa umechangamka kwa shamrashamra za kibiashara. katika pita pita zangu nilifanikiwa kulitembelea soko la mji huo, ila nilishangazwa na hali niliyo ikuta ya miundombinu isiyo kidhi na kulifanya soko kuonekana hatarishi kwawafanya biashara na wateja wao kiafya. Huu ni msimu wa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaivaa Ndanda FC

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba leo wanauanza mwaka mpya na mchezo wa 13 wa Ligi Kuu Tanzania bara ugenini kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaoni Mtwara dhidi ya wenyewe wao Ndanda.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC yarudi kwao

Ndanda iliyopanda daraja msimu huu inarejea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona kuikabili Ruvu Shooting, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Dennis Kitambi akiwataka mashabiki kuujaza uwanja ili wapate ushindi wa kishindo.

 

9 years ago

TheCitizen

Simba win 1-0 against Ndanda

Simba Sports Club yesterday posted a 1-0 victory against Ndanda Football Club in Mtwara in the ongoing Tanzania Mainland Vodacom Premier League match at Nangwanda Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani