Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKO KUU LA SANYA JUU MKOANI KILIMANJARO HALI SI HALI





Sanya Juu ni mji mdogo ndani ya wilaya Siha Mkoani Kilimanjaro ikiwa ni Km 25 toka Bomang'ombe  na KM 50 toka Moshi Mjini, weekend hii nilifanikiwa kuutembelea Mji wa Sanya Juu ambapo siku ya Jumamosi  mji huu huwa umechangamka kwa shamrashamra za kibiashara. katika pita pita zangu nilifanikiwa kulitembelea soko la mji huo, ila nilishangazwa na hali niliyo ikuta ya miundombinu isiyo kidhi na kulifanya soko kuonekana hatarishi kwawafanya biashara na wateja wao kiafya. Huu ni msimu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

10 years ago

Michuzi

UFAFANUZI JUU YA HALI YA AFYA YA NAIBU SPIKA

Naibu Spika wa Bunge,Mh. Job Ndugai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine hali sio hali-22 wauawa

Angalau watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka.

 

10 years ago

Michuzi

HALI YA HEWA YA ZAMANI YAANZA KUREJEA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Baada ya kukosekana mvua kwa muda mrefu katika maeneo yanayozunguka Mlima Kilimanjaro kutokana na uharibifu wa mazingira ikiwa ni pamoja na ukataji wa mitim, hali ya zamani imeanza kurejea.Kurejea kwa hali hiyo kumetokana na jitihada za mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama pamoja na Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) ,kushiriki katika utunzaji wa mazingira kwa kuzuia wananchi walioishi jirani na maeneo yanayozunguka mlima Kilimanjaro kuingia katika eneo la nusu maili kufanya...

 

10 years ago

GPL

AZZY MLEMAVU MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU

Msanii wa Hip Hop, Ahazi Eliya a.k.a Azzy akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Azzy akiwa katika pozi kabla ya mahojiano na Global TV Online. Azzy akielezea historia yake ndani ya Global TV Online.…

 

11 years ago

Michuzi

kilio cha mdau juu ya hali ya uchafuzi wa Mazingira

Naomba kutoa pendekezo kwa Wizara husika,Wakuu wa mikoa ,Wakuu wa wilaya , Mameya na Halimashauri husika juu ya uchafu unaozidi kukidhili kila siku kwa baadhi ya maeneo ya miji mikuu na karibu na mahoteli yanayolisha wasafiri kuelekea mikoani, nadhani na wao pia watakuwa mashaidi juu ya mifuko ya plastic inayozagaa ovyo barabarani, na mitaro ya maji iliyojaa mifuko na maji machafu, na mchanga iliyoachwa baada ya kuziburiwa katika mitaro,
Ombi langu kwa 
Serikali itoe ajira kwa vijana wasio na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani