Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamu ya kuona mwili wa Mandela

Maelfu ya watu walitizama huku jeneza la Mandela likipita katika barabara za Qunu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JK: Ulikuwa wakati mgumu kuona mwili wa Mandela

 Rais Jakaya Kikwete amesema amepata wakati mgumu alipouona mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi huyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku ya pili heshima mwili wa Mandela

Waombolezaji nchini Afrika Kusini wanaingia siku ya pili katika zoezi la kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela.

 

11 years ago

BBCSwahili

ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela

Wanachama wa Chama cha African National Congress (ANC) wametoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Hayati Nelson Mandela.

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI

Wanajeshi  wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria. Mwanamitindo wa Uingereza, Naomi Campbell mbele ya jeneza la mwili wa Mandela.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

BBCSwahili

Hamu ya kocha wa vijana Guinea

Kocha timu ya Guinea ya vijana walio chini ya miaka 17 anaamini kuwa timu hiyo ina uwezo wa kushiriki kombe la dunia la vijana

 

11 years ago

Mwananchi

Kiu ya haki au hamu ya kubomu?

Kwa kuwa sisi kweli ni wafanyakazi, si waposholiwa wala walajasho la wengine, tuliamua kufanya kikao chetu maalumu huko sebuleni kwetu siku ya wafanyakazi. Kwa nini tusijipongeze baada ya mwaka mwingine mgumu kuliko majabali ya Mwanza? Na katika kujipongeza, labda tutaambulia moja au mawili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuta yasubiriwa kwa hamu Turkana

Maandamano tayari yameshuhudiwa miongoni mwa wakaazi wa Turkana wanaodai hawajaona matunda ya kugunduliwa mafuta eneo hilo

 

10 years ago

GPL

KOLABO ZINASUBIRIWA KWA HAMU BONGO

Ben Pol na Avril.  Andrew Carlos MUZIKI wa Bongo Fleva kila kukicha unazidi kupaa kimataifa na hii imeleta hamasa kwa wasanii wengi kupata upenyo wa kufanya kazi nyingi kwa kushirikiana na wanamuziki wa kimataifa.Zipo kolabo za wasanii wa Bongo walizozifanya na wasanii wengine wa kimataifa kama vile KCEE na Shetta, Diamond na Davido, Diamond na Mr Flavour na nyingine kibao ambazo zimefanya vizuri. Ali Kiba na Ne-Yo.  Kwa hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani