Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamu ya kocha wa vijana Guinea

Kocha timu ya Guinea ya vijana walio chini ya miaka 17 anaamini kuwa timu hiyo ina uwezo wa kushiriki kombe la dunia la vijana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ghana kukosa kocha dhidi ya Guinea

Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea.

 

10 years ago

Michuzi

KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akiwaelekeza mabondia jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'upper-cut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala iliyopo  Amana CCM, Dar es salaamKocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupiga ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala.

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

9 years ago

Michuzi

JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

Ndugu Ray Power, ambaye amewahi kuwa Kocha wa Chama Cha Soka na mkuu wa kitengo cha mpira wa miguu katika chuo kiitwacho Central College Nottingham; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika Kituo cha Vijana cha Michezo kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam (pichani). Katika nafasi yake mpya, Ndugu Power atasimamia mafunzo na Uongozi wa kituo kipya ambacho kinategemewa kufunguliwa tarehe 19 ya Mwezi huu. Ndugu Power anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hamu ya kuona mwili wa Mandela

Maelfu ya watu walitizama huku jeneza la Mandela likipita katika barabara za Qunu

 

11 years ago

Mwananchi

Kiu ya haki au hamu ya kubomu?

Kwa kuwa sisi kweli ni wafanyakazi, si waposholiwa wala walajasho la wengine, tuliamua kufanya kikao chetu maalumu huko sebuleni kwetu siku ya wafanyakazi. Kwa nini tusijipongeze baada ya mwaka mwingine mgumu kuliko majabali ya Mwanza? Na katika kujipongeza, labda tutaambulia moja au mawili.

 

11 years ago

GPL

KAJALA: SINA HAMU YA KUISHI BONGO

Stori: Emelder Tarimo
Ohoo! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amefunguka kuwa yuko Bongo kwa kuwa ndipo nyumbani kwao lakini hana hamu ya kuendelea kuishi nchini kutokana na kuzushiwa mambo kila kukicha. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko wikiendi iliyopita, mwigizaji huyo alisema anapenda awe na maisha ya furaha na wanawake wenziye kwa kubadilishana mawazo ya hapa na pale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani