Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiu ya haki au hamu ya kubomu?

Kwa kuwa sisi kweli ni wafanyakazi, si waposholiwa wala walajasho la wengine, tuliamua kufanya kikao chetu maalumu huko sebuleni kwetu siku ya wafanyakazi. Kwa nini tusijipongeze baada ya mwaka mwingine mgumu kuliko majabali ya Mwanza? Na katika kujipongeza, labda tutaambulia moja au mawili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK: Azam imekata kiu

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka timu ya Azam kufika kimataifa zaidi kwa kuchukua makombe kutoka katika michuano mikubwa barani Afrika.

 

10 years ago

Daily News

Seven KIU cheats under probe


IPPmedia
Seven KIU cheats under probe
Daily News
THE independent committee initially appointed by the Pharmacy Council of Tanzania to review the pharmacy courses offered at Kampala International University's (KIU), Dar es Salaam campus has found out that some students pursuing the course at ...
How KIU students ended up in custody for riots.IPPmedia

all 2

 

10 years ago

Bongo5

New Music: CPwaa — Kata Kiu

CPwaa anakuletea single yake mpya “Kata Kiu” imetaarishwa na Producer mkongwe P Funk Majani ndani ya Bongo Records

 

9 years ago

Mwananchi

Ilani ya Ukawa na kiu ya Watanzania

Agosti 29, vyama vinne vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi  (Ukawa), vilizindua kampeni zake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA timizeni kiu ya Watanzania

VYAMA vitatu vya siasa vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimeahidi kuzunguka nchi nzima kushawishi wananchi waikatae katiba mpya inayopendekezwa kwa sababu imepuuza maoni yao. UKAWA ambayo...

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo

 Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mahamoud Thabit Kombo akizungumza katika kikao na ujumbe wa juu wa  watendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (kushoto), Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo(kulia), pamoja na waandishi wa habari katika ziara ya tume hiyo iliyofanyika Zanzibar.   Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale...

 

10 years ago

Habarileo

Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU

Sehemu ya wanafunzi hao wakitawanyikaPOLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Kawambwa alivalia njuga suala la KIU

Shukuru Kawambwa.WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Shukuru Kawambwa amewaahidi wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa ya Kampala (KIU) kukutana na Waziri wa Afya kushughulikia tatizo la wanafunzi wanaosoma fani ya famasia kutotambuliwa na baraza la famasia.

 

10 years ago

Jamtz.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani