Kawambwa alivalia njuga suala la KIU
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Shukuru Kawambwa amewaahidi wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa ya Kampala (KIU) kukutana na Waziri wa Afya kushughulikia tatizo la wanafunzi wanaosoma fani ya famasia kutotambuliwa na baraza la famasia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmaBFNoqnLU/VAR4RML0gLI/AAAAAAAGZ8Q/AXPnA7sVq3w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
NAIBU WAZIRI MAJI ALIVALIA NJUGA TATIZO LA MAJI CHAKWALE
“Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza ...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIBAHA KULIVALIA NJUGA SUALA LA CHANGAMOTO YA WAKINAMAMA WAJAWAZITO
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Viongozi wavalia njuga ‘vimemo’
VIONGOZI wa serikali za vijiji vya Kata ya Maguha na Magubike, mkoani Morogoro, wameazimia kusambaratisha na kukomesha migogoro ya ardhi kwa kuvifikisha mahakamani vikaratasi vyote vya kugawana ardhi kwa njia...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
EAC kuwavalia njuga majangili
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Mar
CCM kuvalia njuga utalii
Kinana amesema Chama kitahakikisha sekta ya utalii inakua kadri ilivyopangwa.
Pia amesema nchi imepiga hatua, lakini bado kuna tatizo la urasimu katika maeneo mengi.
Katibu Mkuu alisema hayo alipozungumza na wakazi wa mji wa Mto wa Mbu mkoani Arusha.
Alisema urasimu ndani ya sekta mbalimbali ikiwemo ya utalii umekuwa kikwazo kwa wawekezaji.
ìMtu anakuja leo unamwambia aje kesho na kila siku jambo hilo linajirudia ndiyo chanzo cha watu kukata tama,îalisema.
Alisema CCM ni Chama chenye dhamana na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi
NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, ameahidi kulivalia njuga suala la bei za nishati ya gesi kwa lengo la kuhakikisha kila mwanamke wa Kitanzania ananufaika na...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wake wa viongozi wavalia njuga ugonjwa wa saratani
UMOJA wa Wake wa Viongozi nchini, umezitaka taasisi na wadau mbalimbali kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan ili kuwakomboa wanawake kutokana na ugonjwa wa saratani. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana kuivalia njuga Serikali ujenzi wa bandari
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Mjumbe Tume ya Warioba amvalia njuga Lowassa