Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hans Poppe awabeza Yanga

Hans PoppeNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amewabeza wapinzani wao Yanga akidai kuwa kipigo walichokipata kutoka kwa timu waliyoidharau kimewaumbua.
Simba ndio walikuwa wenyeji wa mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo Yanga ilikubali kipigo cha bao 1-0.
Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya kumalizika mchezo huo, Hans Poppe alisema maneno mengi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe amvaa Hans Poppe

Mshambuliaji wa Yanga, raia wa Burundi, Amissi Tambwe. Na Mwandishi wetu
MSHAMBULIAJI wa Yanga, raia wa Burundi, Amissi Tambwe, amesikitishwa na kauli zilizotolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe  aliyekaririwa na gazeti hili akizungumzia sakata la straika huyo kupigwa kabali na beki  wa Ruvu Shooting, George Michael katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyozikutanisha timu hizo...

 

10 years ago

GPL

Hans Poppe asusa keki, maji

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Nicodemus Jonas na Saphyna Mlawa SIMBA imeandika barua kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka mwongozo wa Ramadhani Singano ‘Messi’ kutangazwa mchezaji huru, lakini Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema hatotumia keki wala maji ya Azam. Hans Poppe ametoa kauli hiyo kupinga kitendo cha Azam FC kumsajili Messi siku...

 

10 years ago

TheCitizen

KAGERA WAR: Uganda’s secret on Hans Poppe’s body

>Hans Poppe was the Assistant Commissioner of Police in charge of the present Kagera Region when Ugandan soldiers, under the command of Lt Col Abdul Kisule, entered the country to rescue their colleagues who had been captured by the Tanzanian police after wandering into foreign territory in 1971.

 

10 years ago

Michuzi

OBITUARY: I am Proud of what you made out of me Mama Anna Mercat Hans Poppe!

The late Mama Anna Mercant Hans Poppe
during her lifetime  with son Zacharia




By Danford MpumilwaI must have been a brilliant 14 year old young boy when I joined form one at the then just christened Mkwawa High School, formerly Saint Michaels and Georges, in Iringa region. The year was 1968. I say I must have been brilliant because out of 45 pupils who sat for the primary school leaving exam at the then Tandala Upper Middle Boarding Primary School in Ukingaland in Njombe, only three were...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtahadhalisha Hans

>Uongozi wa Yanga umemtaka kocha wa timu hiyo Hans van Der Plyum kupanga timu kwa kuangalia uwezo wa wachezaji na si majina kama alivyokuwa anafanya Ernie Brandts.

 

11 years ago

GPL

KOCHA HANS AAGA YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Hans Van Der Pluijm kocha mkuu wa timu ya Young Africans leo amewaaga rasmi wachezaji wake, viongozi, wapenzi  na wanachama baada ya kumalizaa wake wa miezi sita na sasa anakwenda kujiunga na timu Al Shoalah FC iliyopo Ligi Kuu nchini Saudi Arabia. Kocha huyo mdachi ambaye ameiongoza Young Africans kwa kipindi cha miezi mitano amesema anashukuru kwa sapoti aliyokua akiipata kutoka...

 

10 years ago

GPL

Hans Pluijm amtaka Humud Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amedaiwa kulipendekeza jina na kiungo wa Coastal Union ya Tanga, Abdulhalim Humud katika orodha ya wachezaji anaohitaji kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Pluijm anamhitaji mchezaji huyo ili aweze kuimarisha safu yake ya kiungo ambayo bado haijakaa sawa kama yeye anavyohitaji iwe. Kpah Sherman...

 

9 years ago

Mtanzania

Hans Pluijm: Nimesajili wenye nidhamu Yanga

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ameeleza licha ya kusajili wachezaji bora katika kikosi chake, lakini pia nyota wake hao wana nidhamu ya hali ya juu hali inayomfanya aone hakuna cha kuizuia
Yanga kutwaa ubingwa na kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Mholanzi huyo alisema ubora wa kikosi chake na nidhamu ndiyo sifa kubwa itakayoiwezesha timu hiyo kufanya vizuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anaamini ubora wa kikosi chake na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Hans wa Yanga kumpanga Okwi leo?

Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu amesema kama kocha wa timu yao, Hans Van der Pluijm akiamua kumpanga leo mshambuliaji Emmanuel Okwi atacheza kwa sababu wao hawana mchezaji mwenye matatizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani