Hans Poppe awabeza Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amewabeza wapinzani wao Yanga akidai kuwa kipigo walichokipata kutoka kwa timu waliyoidharau kimewaumbua.
Simba ndio walikuwa wenyeji wa mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo Yanga ilikubali kipigo cha bao 1-0.
Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya kumalizika mchezo huo, Hans Poppe alisema maneno mengi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dHlpmXXOuPVD-0mvrAh185hwsXs1Cl8RyIU6cljwddSrksaWNpNChb4smRlNaquf*DisC8VOHPIEK9lXXUyfDbkmLfqn4Ai-/tambwe.jpg)
Tambwe amvaa Hans Poppe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsvTSj9lCwiIJE0pj7vYeo4IPPPbHerQYdh4Jpi8iezL65eMzuYSC6f1ijcmXS*o23oqB1KlOR36Wstjpf15EdPq/HansPope.jpg?width=650)
Hans Poppe asusa keki, maji
10 years ago
TheCitizen13 Apr
KAGERA WAR: Uganda’s secret on Hans Poppe’s body
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eHhKTKGazoQ/VHQKuBLAHqI/AAAAAAAGzPs/-YHElVmBRnQ/s72-c/IMG-20141030-WA0000%2Bcopy.jpg)
OBITUARY: I am Proud of what you made out of me Mama Anna Mercat Hans Poppe!
![](http://4.bp.blogspot.com/-eHhKTKGazoQ/VHQKuBLAHqI/AAAAAAAGzPs/-YHElVmBRnQ/s1600/IMG-20141030-WA0000%2Bcopy.jpg)
during her lifetime with son Zacharia
By Danford MpumilwaI must have been a brilliant 14 year old young boy when I joined form one at the then just christened Mkwawa High School, formerly Saint Michaels and Georges, in Iringa region. The year was 1968. I say I must have been brilliant because out of 45 pupils who sat for the primary school leaving exam at the then Tandala Upper Middle Boarding Primary School in Ukingaland in Njombe, only three were...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Yanga yamtahadhalisha Hans
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA HANS AAGA YANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhcA044nBTvvNtqfk7gOM*2MbyzdHLv26c0R8fTY*MwIpbbmlyHUk9zPY8gnFEcPmaIoVImoBxL00huUbu3K5NF1/pluijm1.jpg?width=650)
Hans Pluijm amtaka Humud Yanga
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Hans Pluijm: Nimesajili wenye nidhamu Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ameeleza licha ya kusajili wachezaji bora katika kikosi chake, lakini pia nyota wake hao wana nidhamu ya hali ya juu hali inayomfanya aone hakuna cha kuizuia
Yanga kutwaa ubingwa na kufanya vizuri michuano ya kimataifa.
Mholanzi huyo alisema ubora wa kikosi chake na nidhamu ndiyo sifa kubwa itakayoiwezesha timu hiyo kufanya vizuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anaamini ubora wa kikosi chake na...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kocha Hans wa Yanga kumpanga Okwi leo?