Hans Pluijm amtaka Humud Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhcA044nBTvvNtqfk7gOM*2MbyzdHLv26c0R8fTY*MwIpbbmlyHUk9zPY8gnFEcPmaIoVImoBxL00huUbu3K5NF1/pluijm1.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amedaiwa kulipendekeza jina na kiungo wa Coastal Union ya Tanga, Abdulhalim Humud katika orodha ya wachezaji anaohitaji kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Pluijm anamhitaji mchezaji huyo ili aweze kuimarisha safu yake ya kiungo ambayo bado haijakaa sawa kama yeye anavyohitaji iwe. Kpah Sherman...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Hans Pluijm: Nimesajili wenye nidhamu Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ameeleza licha ya kusajili wachezaji bora katika kikosi chake, lakini pia nyota wake hao wana nidhamu ya hali ya juu hali inayomfanya aone hakuna cha kuizuia
Yanga kutwaa ubingwa na kufanya vizuri michuano ya kimataifa.
Mholanzi huyo alisema ubora wa kikosi chake na nidhamu ndiyo sifa kubwa itakayoiwezesha timu hiyo kufanya vizuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anaamini ubora wa kikosi chake na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s72-c/pluijm.jpg)
Hans van Der Pluijm na Charles Mkwassa watajwa kuwa makocha wapya wa Yanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s1600/pluijm.jpg)
Pluijm na Mkwassa wanachukua nafasi ya makocha wa Yanga, Marcio Maximo na Leonardo Neiva waliotupiwa virago huku Tiboraha akichukua mikoba ya Beno Njovu aliyemaliza muda wake.
Awali mkufunzi wa Fifa, Henry Tandau alipigiwa chapuo kuchukua cheo cha Ukatibu baada...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Kamusoko safi - Hans van Pluijm
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amemwagia sifa kiungo mpya wa timu hiyo, Mzimbabwe Thabani Kamusoko kwa kuonesha kiwango kizuri katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Yanga yamtahadhalisha Hans
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Hans Poppe awabeza Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amewabeza wapinzani wao Yanga akidai kuwa kipigo walichokipata kutoka kwa timu waliyoidharau kimewaumbua.
Simba ndio walikuwa wenyeji wa mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo Yanga ilikubali kipigo cha bao 1-0.
Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya kumalizika mchezo huo, Hans Poppe alisema maneno mengi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA HANS AAGA YANGA
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kocha Hans wa Yanga kumpanga Okwi leo?
9 years ago
Habarileo05 Nov
Pluijm: Yanga bingwa
KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.