Tambwe amvaa Hans Poppe
![](http://api.ning.com:80/files/dHlpmXXOuPVD-0mvrAh185hwsXs1Cl8RyIU6cljwddSrksaWNpNChb4smRlNaquf*DisC8VOHPIEK9lXXUyfDbkmLfqn4Ai-/tambwe.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga, raia wa Burundi, Amissi Tambwe. Na Mwandishi wetu MSHAMBULIAJI wa Yanga, raia wa Burundi, Amissi Tambwe, amesikitishwa na kauli zilizotolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe aliyekaririwa na gazeti hili akizungumzia sakata la straika huyo kupigwa kabali na beki wa Ruvu Shooting, George Michael katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyozikutanisha timu hizo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Hans Poppe awabeza Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amewabeza wapinzani wao Yanga akidai kuwa kipigo walichokipata kutoka kwa timu waliyoidharau kimewaumbua.
Simba ndio walikuwa wenyeji wa mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo Yanga ilikubali kipigo cha bao 1-0.
Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya kumalizika mchezo huo, Hans Poppe alisema maneno mengi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsvTSj9lCwiIJE0pj7vYeo4IPPPbHerQYdh4Jpi8iezL65eMzuYSC6f1ijcmXS*o23oqB1KlOR36Wstjpf15EdPq/HansPope.jpg?width=650)
Hans Poppe asusa keki, maji
10 years ago
TheCitizen13 Apr
KAGERA WAR: Uganda’s secret on Hans Poppe’s body
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eHhKTKGazoQ/VHQKuBLAHqI/AAAAAAAGzPs/-YHElVmBRnQ/s72-c/IMG-20141030-WA0000%2Bcopy.jpg)
OBITUARY: I am Proud of what you made out of me Mama Anna Mercat Hans Poppe!
![](http://4.bp.blogspot.com/-eHhKTKGazoQ/VHQKuBLAHqI/AAAAAAAGzPs/-YHElVmBRnQ/s1600/IMG-20141030-WA0000%2Bcopy.jpg)
during her lifetime with son Zacharia
By Danford MpumilwaI must have been a brilliant 14 year old young boy when I joined form one at the then just christened Mkwawa High School, formerly Saint Michaels and Georges, in Iringa region. The year was 1968. I say I must have been brilliant because out of 45 pupils who sat for the primary school leaving exam at the then Tandala Upper Middle Boarding Primary School in Ukingaland in Njombe, only three were...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mongela amvaa JK
WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Hans: Tutaendelea kushambulia
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Yanga yamtahadhalisha Hans
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wenje amvaa Meya
MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
Kinana amvaa Sefue.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kinana-09March2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.
Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...