Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPPINESS MASSAGE CLINIC, WANATIBU MATATIZO YA VIUNGO VYA MWILI

Combination massage (Masaji mchanganyiko) Relaxation massage (Masaji ya kutoa uchovu) Body scrub…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu waombwa kuchangia viungo vya Mwili

Hospitali za Uingereza zimeanza kuwashawishi Waislamu kuchangia viungo vyao kwa wagonjwa ambao wanahitaji figo au maini.

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA CHAI, KAHAWA KWA VIUNGO VYA MWILI

KAMA mtakumbuka, katika toleo la Uwazi namba 846, Juni 10 – 16, 2014, tuliongelea madhara ya matumizi makubwa ya bidhaa zenye caffeine na kahawa ikiwa yenye kiwango kikubwa. Wasomaji wengi mliuliza maswali mengi mkitaka kujua zaidi kuhusu athari za caffeine, hasa kwa upande wa maumivu ya mifupa na nyonga. Mlikuwa sahihi kwa kuwa ni kweli wengi wetu tunaumwa maradhi ya mifupa na hasa nyonga, magoti na mgongo. Kitaalamu...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

 

9 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-3

Wiki hii nitazungumzia matibabu na ushauri kuhusiana na tatizo hili. Matibabu mazuri hutegemea na uchunguzi makini wa awali, tatizo likiwa changa na kabla mwanamke hajaanza kutumia dawa mara kwa mara kwa tatizo hilo, hivyo basi, kwa umakini wa tiba unashauriwa uwaone madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama katika hospitali za mikoa ingawa uchunguzi na tiba za awali unaweza kupata katika vituo vya afya na hospitali za wilaya....

 

9 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-2

Wiki hii nitaendelea na makala haya niliyoanza wiki iliyopita. Kuwa na mpenzi mpya na kufanya naye ngono bila ya kumfahamu vizuri tena bila kutumia kondom, pia ni chanzo kikubwa cha kupata madhara haya. Kuanza ngono katika umri mdogo kati ya miaka kumi hadi 19 ni mojawapo ya chanzo cha tatizo. Ni vizuri msichana usubiri hadi wakati wako ufike, kuanza ngono katika umri mdogo pia ni chanzo kikuu cha kupata kansa au saratani ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!

1

Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).

Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog

 

11 years ago

GPL

VIUNGO VYA BINADAMU...

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
SAKATA  la kutupwa kwa viungo vya binadamu  lililofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba cha Kimataifa cha IMTU kilichopo Mbezi jijini Dar,  linadaiwa kuikumba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya tanuru linalotumika kuteketeza viungo vya binadamu kuharibika kwa miezi sita sasa. Fuvu la kichwa cha binadamu. Uchunguzi uliofanywa na timu ya Uwazi kwa muda wa siku kadhaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Siri yafichuka viungo vya albino

Kila kiungo kimoja cha ‘albino’, huuzwa kwa bei kubwa, hali inayotajwa kuwa kiini cha kukithiri kwa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, mahakama mkoani Geita ilielezwa jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani