Waislamu waombwa kuchangia viungo vya Mwili
Hospitali za Uingereza zimeanza kuwashawishi Waislamu kuchangia viungo vyao kwa wagonjwa ambao wanahitaji figo au maini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8Bsqquc5lX6vmmwCQ0pF-8yYO18VwNWL6--6huZ3zwcw2MmUtQLQxDVoeTSYvqkVF53-hz9tnQpSzFY5lFcW80/CHAI.jpg)
ATHARI ZA CHAI, KAHAWA KWA VIUNGO VYA MWILI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MASSAGE-4.jpg)
HAPPINESS MASSAGE CLINIC, WANATIBU MATATIZO YA VIUNGO VYA MWILI
10 years ago
Michuzi13 Nov
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU
![](https://4.bp.blogspot.com/-AsUH_qwLQGs/VGSr7e5svtI/AAAAAAAGw8g/mFo8s5pkN9M/s640/unnamed%2B(5).jpg)
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...
9 years ago
Habarileo20 Sep
Wadau waombwa kuchangia sekta ya afya
WADAU wa Afya nchini wameombwa kuwekeza kwenye sekta hiyo kutokana na bajeti iliyotengwa kwa ajili ya sekta kuwa finyu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
10 years ago
StarTV04 Mar
Wakazi Mtwara waombwa kujitokeza kuchangia damu.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu amewaomba wakazi wa mkoa huo kuhakikisha wanajitokeza kuchangia damu kutokana na kituo cha damu salama cha mikoa ya kanda ya kusini kuonekana kuwa na uhaba mkubwa wa Damu na hivyo kusababisha damu nyingi kuagizwa kutoka kanda nyingine pindi kunapotokea mahitaji ya damu kwa wagonjwa.
Dendegu ameyasema hayo katika uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya wanawake mkoa Mtwara.
Maadhimisho hayo yameanza kwa mkuu wa Mkoa wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vVBxhI4Mxm4/Uu89r9EFkPI/AAAAAAAFKiE/hkdnbLz68B0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Je kuchangia kiungo cha mwili ni mwiko ?
10 years ago
Mtanzania25 May
Polisi wagoma kuchangia mafuta kusafirisha mwili wa mwenzao
Na Ahmed Makongo, Bunda
POLISI wilayani Bunda, mkoani Mara, wanadaiwa kugoma kuchangia fedha za mafuta kwa ajili ya kusafirisha mwili wa askari mwenzao, Koplo Mahamudu Magasa, aliyefariki dunia baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa malaria kwa muda mfupi.
Mafuta hayo yalikuwa yanatakiwa kwa ajili ya kusafirisha mwili wa Koplo Mahamudu kwenda nyumbani kwako, Wilaya ya Mahenge, mkoani Morogoro.
MTANZANIA jana ilifika Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Bunda na kukuta umati mkubwa wa askari...