Je kuchangia kiungo cha mwili ni mwiko ?
Ni nadra sana kwa nchi nyingi za kiafrika kusikia mtu anaahidi kuchangia kiungo chake cha mwili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Waislamu waombwa kuchangia viungo vya Mwili
10 years ago
Mtanzania25 May
Polisi wagoma kuchangia mafuta kusafirisha mwili wa mwenzao
Na Ahmed Makongo, Bunda
POLISI wilayani Bunda, mkoani Mara, wanadaiwa kugoma kuchangia fedha za mafuta kwa ajili ya kusafirisha mwili wa askari mwenzao, Koplo Mahamudu Magasa, aliyefariki dunia baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa malaria kwa muda mfupi.
Mafuta hayo yalikuwa yanatakiwa kwa ajili ya kusafirisha mwili wa Koplo Mahamudu kwenda nyumbani kwako, Wilaya ya Mahenge, mkoani Morogoro.
MTANZANIA jana ilifika Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Bunda na kukuta umati mkubwa wa askari...
10 years ago
Habarileo28 May
Ubunge hautatokana na kiungo cha albino - Silima
WANASIASA wameambiwa kuwa ubunge hautatokana na kiungo cha albino na kuachana na fikra hizo potofu.
11 years ago
BBCSwahili19 May
Rais Morales kucheza kiungo cha kati
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ONX7daM5GMw/VQWthvCpHNI/AAAAAAADcs4/NMM2xvG0YU8/s72-c/0L7C3863.jpg)
Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini
![](http://3.bp.blogspot.com/-ONX7daM5GMw/VQWthvCpHNI/AAAAAAADcs4/NMM2xvG0YU8/s1600/0L7C3863.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s72-c/12.jpg)
hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund yafana jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s1600/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcqsRuQmZhE/VCg2ySvjhsI/AAAAAAAAnWw/dOwT6RVazNA/s1600/10.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CcL3X1rcI-A/VDe1n9ur4AI/AAAAAAADJQM/dCTsGfv2gt8/s1600/1.jpg)