Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harrisson Ford amepata nafuu

Muigizaji nyota wa filamu za Hollywood Harrisson Ford ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu ahusike katika ajali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dk.Harrisson Mwakyembe atembelea tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini!!

DSC_1646

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi hizo. Wanamsikiliza pembeni yake kwa bashasha (kulia) ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Bahame Nyanduga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Iddi Mapuri.

 

Na Mbaraka Kambona,

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe ameitembelea  Tume ya Haki za Binadamu...

 

10 years ago

GPL

HAMILTON AMEPATA MRITHI WA NICOLE?

Muendesha magari ya Langalanga, Lewis Hamilton. New York, Marekani
KICHECHE? Ndiyo swali linaloulizwa kufuatia muendesha magari ya Langalanga, Lewis Hamilton, kuhusishwa kutoka kimapenzi mara kwa mara na wadada tofautitofauti lakini wikiendi iliyopita alinaswa na kitu kipya. Akiwa na kidosho huyo. Hamilton amehusishwa kutoka na warembo kibao akiwemo mdogo wa kufikia wa Kim Kardashian, Kendall Jenner.  
Hamiliton… ...

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel adai mwaka 2015 amepata mafanikio makubwa

Mtayarishaji wa muziki kutoka The Industry, Nahreel ameema baada ya kukabidhiwa tuzo ya mtayarishaji bora wa muziki wa Bongo Flava na KTMA 2015 amepata mafanikio makubwa. Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa mwaka huu ni mwaka ambao amekuwa busy na kazi nyingi kuliko wakati uliopita. “Demand ya mimi kuproduce wasanii imekuwa kubwa sana, tena sana, kupita hata […]

 

9 years ago

Michuzi

newsflash Dr. Helen K. Bisimba amepata ajali jijini Dar es salaam leo

 Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dr. Helen K. Bisimba amepata ajali ya gari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es salaam. Amekimbizwa hospitali tunaendelea kufuatilia maendeleo yake na kuwajulisha . Pichani juu na chini ndilo gari alilokuwa akisafiria.

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA

Kwa  taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mbunge Wa Arumeru Mashariki ndugu Joshua Nasary amepata ajali leo jioni akiwa maeneo ya Leguruki.
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...

 

9 years ago

MillardAyo

Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa

Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]

The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...

 

11 years ago

Bongo Movies

Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo, watu wahoji amepata wapi mali zote hizo. Mwenyewe afunguka na haya

Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla, Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina ambalo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ford yazindua baiskeli ya kielektroniki

Kampuni ya kutengeza magari ya Ford imezindua baiskeli ya kutumia umeme

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AGOMA KUOLEWA

Na Mwandishi Wetu STAA wa filamu Bongo ‘Shamsa Ford’ amegoma kuolewa siku chache baada ya tarehe ya harusi yake kufika kwa madai kuwa mambo yalivyopangwa sivyo alivyotarajia. Shamsa Ford. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa harusi ya Shamsa ilikuwa ifanyike kati ya Desemba 24 na 25, mwaka huu lakini aligoma kwa vile walikwenda kinyume na makubaliano ya tarehe husika. “Unajua mwanzoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani