Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMILTON AMEPATA MRITHI WA NICOLE?

Muendesha magari ya Langalanga, Lewis Hamilton. New York, Marekani
KICHECHE? Ndiyo swali linaloulizwa kufuatia muendesha magari ya Langalanga, Lewis Hamilton, kuhusishwa kutoka kimapenzi mara kwa mara na wadada tofautitofauti lakini wikiendi iliyopita alinaswa na kitu kipya. Akiwa na kidosho huyo. Hamilton amehusishwa kutoka na warembo kibao akiwemo mdogo wa kufikia wa Kim Kardashian, Kendall Jenner.  
Hamiliton… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nicole Scherzinger na Lewis Hamilton waachana kwa mara ya nne!

Nicole Scherzinger ameachana na mpenzi wake Lewis Hamilton kwa mara ya nne. Muimbaji huyo mwenye umri wa miaka 36 ameachana na mshindi huyo wa mashindano ya magari ya Formula One, 30, kutokana na uhusiano kuwa wa mbali (Long-distance relationship). Nicole anadaiwa kuumizwa mno na hatua hiyo. Wawili hao waliokuwa na uhusiano kwa miaka saba wanaachana […]

 

11 years ago

GPL

10 years ago

BBCSwahili

Harrisson Ford amepata nafuu

Muigizaji nyota wa filamu za Hollywood Harrisson Ford ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu ahusike katika ajali.

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel adai mwaka 2015 amepata mafanikio makubwa

Mtayarishaji wa muziki kutoka The Industry, Nahreel ameema baada ya kukabidhiwa tuzo ya mtayarishaji bora wa muziki wa Bongo Flava na KTMA 2015 amepata mafanikio makubwa. Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa mwaka huu ni mwaka ambao amekuwa busy na kazi nyingi kuliko wakati uliopita. “Demand ya mimi kuproduce wasanii imekuwa kubwa sana, tena sana, kupita hata […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Twitter Is Dragging TI After Asking Boris Kodjoe and Nicole Ari Parker About Marital Secrets

Twitter Is Dragging TI After Asking Boris Kodjoe and Nicole Ari Parker About Marital Secrets  Showbiz Cheat SheetT.I. & Tiny Asked Boris Kodjoe & Nicole Ari Parker How They Hide Their Dirt & The Response Was A Whole Read  MadameNoire'All Men Don't Cheat': TI Fans Trash Him for Asking Boris Kodjoe and Nicole Parker About Keeping Marital Issues 'In House'  Atlanta Black StarView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014

Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam. (Picha na Pamoja Blog)Tano bora ilikuwa hii

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014

Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam.
Tano bora ilikuwa hii.… ...

 

9 years ago

Michuzi

newsflash Dr. Helen K. Bisimba amepata ajali jijini Dar es salaam leo

 Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dr. Helen K. Bisimba amepata ajali ya gari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es salaam. Amekimbizwa hospitali tunaendelea kufuatilia maendeleo yake na kuwajulisha . Pichani juu na chini ndilo gari alilokuwa akisafiria.

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA

Kwa  taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mbunge Wa Arumeru Mashariki ndugu Joshua Nasary amepata ajali leo jioni akiwa maeneo ya Leguruki.
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani