HARUSI YA MIKE LOHELO NA TAYANA DAR -ES -SALAAMA
Mike na mke wake siku ya ndoa yao hapa wakiangaliana usoni kabla ya kukaa kwenye viti.
Tayana akipokea busu la huba kwenye shavu kutoka kwa mume wake Mike.
Mike na mke wake wakipata ukodak sehemu iliyoandikwa majina yao kabla kuingia kwenye ukumbi wa harusi yao.
Okodak wa pamoja na wapambe wao.
Ny Ebra ni rafiki wa bwana harusi hapa wakipata ukodak.
Ukodak kama kawaida bwana harusi na rafiki yake Robert Mongi na mke wake mama kijacho.
Bwana harusi akifurahia jambo baada ya kutaniwa na rafiki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM27 Jul
MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAMâ€
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza akikimbiza mwenge wa Uhuru Tayari kwa kuukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki.
(Picha na Hassan Silayo na Benjamin Sawe)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mUYuji1YxCk/XtI8IYweQ3I/AAAAAAALsE0/r95erc4W-cIj-PabbIwJr693xEWLM5kBgCLcBGAsYHQ/s72-c/b8cfe9b3-6609-41ca-ade9-3d4017874b07.jpg)
Dar es Salaam’s British Legion Tanganyika Club yapiga jeki kiwanda Muhimbili
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huyo Mwenyekiti wa klabu hiyo Bw. Godfrey Mramba amesema kuwa wameguswa jinsi ambavyo Hospitali ya Taifa Muhimbili iliweza kukabiliana na changamoto kubwa ya upungufu wa mavazi kinga ambayo yalikua hayapatikani kwa...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)
Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]
The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Bwana harusi afukuzwa kutoka kwa harusi yake.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Bwana harusi aanguka kifafa kabla ya harusi
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Bi harusi apewa talaka siku ya harusi
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Bibi harusi amkimbia bwana harusi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika.
Mchungaji mwenza wa usharika huo, Elikeseni Shao, alisema majira ya saa sita na nusu mchana wakati maandalizi...
10 years ago
Michuzi06 Sep
SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA
![](https://3.bp.blogspot.com/-JQxuUcXLTEE/VAs_TGyfphI/AAAAAAAAHQ0/_CIkgWcKJQo/s1600/logo-tanzania%2Bxx.jpg)
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s72-c/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s640/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)