Hasira inaathiri afya na ubora wa maisha
>Hasira ni hali ambayo mara nyingi humpata binadamu na wanyama wengine katika kipindi cha maisha yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Hasira ni hasara kwa afya yako
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Lowassa athibitisha ubora wa afya yake
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa, jana alithibitisha kwa vitendo kuwa afya yake iko safi baada ya kutembea umbali wa kilomita tano kwa miguu kwenye matembezi ya kupinga mauaji ya albino nchini.
Kwa muda mrefu, Lowassa ambaye ni mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, amekuwa akidaiwa kuwa na matatizo ya afya na kuwa hawezi kuhimili mikimiki ya kampeni na shughuli nyingine...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mlo wako ni tafsiri ya ubora wa afya yako
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Coronavirus: Virusi ni nini na kwanini vinahatarisha maisha ya wahudumu wa afya?
10 years ago
MichuziWARSHA YA STADI ZA MAISHA NA AFYA YA UZAZI KWA WARATIBU WA UKIMWI YAFANYIKA LEO JIJINI MWANZA
Mratibu wa Ukimwi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw,Musa Varisanga(Aliyevaa Miwani) akifurahia jambo na Mratibu wa...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40
Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.
Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...
10 years ago
Michuzi01 Jul
WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA
![1nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1nh.jpg)
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri.
![2nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/2nh.jpg)
![nh3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nh3.jpg)