Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATUTOWAVUMILIA WANAOENDEKEZA VITENDO VYA URASIMU NA UMANGIMEZA WA KUTUMIA MAKARATASI OFISINI-KINANA

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Kapalamsenga,wilayani Mpanda mkoani Katavi jioni ya leo,katika mkutano wa hadhara,Kinana alijikuta akigeuka mbogo na kuwaomba radhi wakazi wa kata ya Kirema, Ikola na Kapalamsenga,wilayani Mpanda mkoani Katavi, baada ya kubaini kuwa,kumekuwepo na kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wa Serikali.Kinana amesema chama chake kamwe hakitowavumilia watendaji wanaoendekeza vitendo vya urasimu na umangimeza wa kutumia makaratasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vyombo vya ufuatiliaji vitendo vya unyanyasaji  bado ni changamoto

Licha ya kuwepo kwa sheria ya kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji imebainika kuwa kuna tatizo kubwa la kukosekana kwa vyombo maalumu vya ufuatiliaji wa vitendo hivyo kuanzia ngazi ya majumbani ili kuwabaini wanaotenda makosa hayo na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Vitendo vya unyanyasaji vimekuwa vikibomoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija lakini pia vinasigana na haki ya msingi ya watoto kuishi salama utotoni.

Pamoja na kudaiwa kupungua kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!

1

Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).

Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPSF: Urasimu utoaji vibali vya ujenzi kikwazo cha maendeleo

TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), imesema Tanzania haiwezi kuendelea kukwamishwa na urasimu wa utoaji wa vibali vya ujenzi ambavyo vinarudisha nyuma juhudi za kujenga mazingira bora ya kufanya biashara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Mpanda akemea watendaji wanaoendekeza posho

MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza  Mwamlima,  amekemea  tabia ya viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda kukimbilia  kuhudhuria  kwa wingi kwenye vikao wanavyolipwa posho na kuvikimbia  visivyo na posho....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ipo haja ya kutumia vidonge vya vitamin D?

Baadhi ya watu huenda wakaamua kutumia virutubisho vya vitamin D wakati wa janga la corona. Hii hapa sababu.

 

10 years ago

Habarileo

Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Ama nini? Imekaaje kitaa hiyo ya kona mbaya kwa fasi ya Roki Siti? Kipande hii Bongo tambarare nini na nini sema ndo hivo washkaji wanakaza kidizaini f’lani hivi. Enewei, kama vipi barida!
Wazazi ishu za ajali zinazingua kinoma wanangu. Nini kimehapeni masela? Ngoja nitumie chansi hii kuwapa sori wale wote mliolosti ndugu, jamaa na mafrendis. Tugetha tuseme r.i.p kwa wana waliolosti laifu....

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook kupambana na vitendo vya kujiua

Mtandao wa Facebook umeanzisha Nyenzo mpya nchini Marekani kuwasaidia watu wenye mashaka na marafiki ambao wako hatarini kujiua.

 

10 years ago

Habarileo

Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa

PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani