Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa walimsaliti Mwalimu Nyerere uteuzi wa mrithi aliyemtaka

KATIKA Toleo Na.348 la Desemba 30 - Januari 5, mwaka huu, Mwandishi na Mhariri wa Gazeti hili, Ez

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?

Mwalimu Nyerere ameacha sifa nyingi za uongozi katika historia ya Tanzania. Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassani Mwinyi alimwita mlima na yeye akajiita kichuguu na wengine tumebaki na Baba wa Taifa kama neno la jumla la heshima yake kitaifa. Hata wanawe humwita Baba wa Taifa na siyo baba yao. Hili nalo ni kumpambanua kwa haiba na wababa wengine wa familia na koo za Kiafrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakifuata ramani ya Mwalimu kumpata mgombea urais bora hawa wamekwisha

Kuna kibao kiitwacho “Mtu chake apendacho” kilichoimbwa na DDC Mlimani Park miaka ya 1980. Hadi leo utawasikia watu wakiimba; “Mtu chake apendacho, hakina ila machoni, huridhika kuwa nacho, japo hakina thamani…”

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere

LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu Nyerere hatotoweka

KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Mwananchi

Hajatokea kama Mwalimu Nyerere

Nilikutana na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa mara ya kwanza mwaka 1978. Mimi nilikuwa Seminari ya Likonde wilayani Mbinga. Mwalimu alikuja kutembelea Kijiji cha Amani Makoro.

 

10 years ago

The Southern Times

Time to reflect on Mwalimu Nyerere


The Southern Times
Time to reflect on Mwalimu Nyerere
The Southern Times
The period of October 14-24 marks the final journey of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere and is a very special week for southern Africans to reflect and rededicate to Africa's future.Mwalimu Nyerere passed away on 14 October 1999 at the age of 77.
Mwalimu advocated two-tier Union, says CCMDaily News
Julius Nyerere to land posthumous Catholic sainthood?NewsDay

all 7

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani