Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hayatou ataka kuendelea kuongoza Caf

Rais wa Caf Issa Hayatou anataka kipengele cha ukomo wa umri unaoruhusiwa kuongoza Caf kiondolewe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga

 Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. --- Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Cameroon Hayatou kuongoza Fifa

Rais wa CAF Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.

 

9 years ago

Michuzi

Issa Hayatou kuongoza FIFA kwa muda


Issa Hayatou

Kiongozi wa shirikisho la soka barani Afrika Issa Hayatou (pichani) kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.
Hayatou atachukua usukani kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa Fifa Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho hilo,Shirikisho hilo linalosimamia soka duniani limesema kupitia taarifa.Hayatou, aliyeongoza CAF tangu 1988, atachukua usukani kwa mujibu wa sheria za Fifa, akiwa ndiye makamu wa rais katika kamati tendaji...

 

10 years ago

BBC

Hayatou and Caf lament player deaths

Caf mourns the deaths of former Cameroon international Valery Mezague and Guinean Oumar Tourade Bangoura.

 

9 years ago

BBC

Caf insist Hayatou is fit to fulfil role

The Confederation of African Football insists that acting Fifa president Issa Hayatou is fit to fulfil his duties, despite long-running health issues.

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Viruis vya corona: Magufuli ataka ligi ya kandanda Tanzania kuendelea

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba anafikiria kuanzisha ligi ya kandanda ya Tanzania baada ya ligi hiyo kuahirishwa kwa wiki sita kutokana na athari za viruis vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19

Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...

 

10 years ago

BBC

Bility would step aside for Hayatou

Liberia FA president Musa Bility will step aside if the head of Caf, Issa Hayatou, wants to make a bid for the Fifa presidency.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani