Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Issa Hayatou kuongoza FIFA kwa muda


Issa Hayatou

Kiongozi wa shirikisho la soka barani Afrika Issa Hayatou (pichani) kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.
Hayatou atachukua usukani kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa Fifa Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho hilo,Shirikisho hilo linalosimamia soka duniani limesema kupitia taarifa.Hayatou, aliyeongoza CAF tangu 1988, atachukua usukani kwa mujibu wa sheria za Fifa, akiwa ndiye makamu wa rais katika kamati tendaji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Issa Hayatou: Fifa's stand-in man at the top

A profile of Issa Hayatou, the man stepping up to run world football governing body Fifa during Sepp Blatter's 90-day suspension.

 

9 years ago

Bongo5

Issa Hayatou achukua nafasi Sepp Blatter FIFA

Kiongozi wa shirikisho la soka barani Afrika, Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda. Hayatou atachukua nafasi hiyo kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa Fifa Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho hilo, FIFA linalosimamia soka duniani limesema kupitia taarifa. Hayatou, […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Cameroon Hayatou kuongoza Fifa

Rais wa CAF Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter ampandisha cheo Issa Hayatou

Sepp Blatter amemtangaza Issa Hayatou mkuu wa shirikisho la Caf kama naibu mkuu wa rais wa shirikisho la soka duniani.

 

11 years ago

Michuzi

Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga

 Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. --- Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hayatou ataka kuendelea kuongoza Caf

Rais wa Caf Issa Hayatou anataka kipengele cha ukomo wa umri unaoruhusiwa kuongoza Caf kiondolewe.

 

9 years ago

BBC

Fifa focused on reforms - Hayatou

Fifa acting president Issa Hayatou says it is crucial that football's world governing body "restores public trust" in the organisation.

 

9 years ago

BBC

Hayatou in temporary charge of Fifa

Caf president Issa Hayatou takes temporary charge of Fifa after football's world governing body suspends Sepp Blatter.

 

9 years ago

BBC

Hayatou calls for a reformed Fifa

Acting president Issa Hayatou says football deserves "nothing less" than a rebuilt and fully accountable Fifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani