Issa Hayatou kuongoza FIFA kwa muda
Kiongozi wa shirikisho la soka barani Afrika Issa Hayatou (pichani) kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.
Hayatou atachukua usukani kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa Fifa Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho hilo,Shirikisho hilo linalosimamia soka duniani limesema kupitia taarifa.Hayatou, aliyeongoza CAF tangu 1988, atachukua usukani kwa mujibu wa sheria za Fifa, akiwa ndiye makamu wa rais katika kamati tendaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBC08 Oct
Issa Hayatou: Fifa's stand-in man at the top
9 years ago
Bongo509 Oct
Issa Hayatou achukua nafasi Sepp Blatter FIFA
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Raia wa Cameroon Hayatou kuongoza Fifa
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Blatter ampandisha cheo Issa Hayatou
11 years ago
Michuzi24 Feb
Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga
![](https://2.bp.blogspot.com/-UVYPyQ-02Z4/Uwntlg7YtPI/AAAAAAACp4c/H4-evbCksrM/s1600/20140221_100321.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zesdCzfmPaI/UwntlSoUZjI/AAAAAAACp4g/jv48jcDs1LA/s1600/20140221_100343.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Hayatou ataka kuendelea kuongoza Caf
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/8696/production/_86145443_hayatou.jpg)
Fifa focused on reforms - Hayatou
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/4A2B/production/_85978981_hayatou.jpg)
Hayatou in temporary charge of Fifa
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/EF86/production/_87281316_blatter_getty.jpg)
Hayatou calls for a reformed Fifa