Raia wa Cameroon Hayatou kuongoza Fifa
Rais wa CAF Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi08 Oct
Issa Hayatou kuongoza FIFA kwa muda
Kiongozi wa shirikisho la soka barani Afrika Issa Hayatou (pichani) kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho la soka duniani Fifa kwa muda.
Hayatou atachukua usukani kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa Fifa Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho hilo,Shirikisho hilo linalosimamia soka duniani limesema kupitia taarifa.Hayatou, aliyeongoza CAF tangu 1988, atachukua usukani kwa mujibu wa sheria za Fifa, akiwa ndiye makamu wa rais katika kamati tendaji...
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Hayatou ataka kuendelea kuongoza Caf
10 years ago
BBCHayatou confirmed as Fifa senior VP
9 years ago
BBCFifa focused on reforms - Hayatou
9 years ago
BBCHayatou in temporary charge of Fifa
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Hayatou amrithi Blatter Fifa
ZURICH, USWISI
RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Issa Hayatou, ameteuliwa kuongoza Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa muda baada ya rais wa sasa, Sepp Blatter,kusimamishwa kazi.
Hayatou raia wa Cameroon, amefungua historia mpya barani Afrika kwa kiongozi wa soka barani humu kupata nafasi ya juu kuongoza shirikisho hilo.
Blatter alisimamishwa kazi juzi usiku na Kamati ya Maadili ya Fifa kwa siku 90 (miezi mitatu) sambamba na Katibu Mkuu, Jerome Valcke na Makamu wa Rais, Michel...
9 years ago
BBCHayatou calls for a reformed Fifa
9 years ago
BBC08 Oct
Issa Hayatou: Fifa's stand-in man at the top
9 years ago
Bongo509 Oct
Issa Hayatou achukua nafasi Sepp Blatter FIFA