HEEE! SHILOLE, AUNT WAJISHEBEDUA NA VISERENGETI BOY MBELE YA JK
Waandishi Wetu ISHU! Katika kitu kinachoweza kutafsiriwa kama kituko, wasanii wawili wanaofanya vizuri kwenye filamu na Bongo Fleva, Aunt Ezekiel na Zuwena Mohamed ‘Shilole’ juzikati walionekana wakijishebedua na wapenzi wao wanaotajwa kuwa ‘majanki’ kuliko wao, mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya fainali ya Kinondoni Talent Search, iliyofanyika katika ukumbi wa Kisanga, Millenium Tower,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSHILOLE AMTETEA SERENGETI BOY WAKE
11 years ago
GPLSHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Video: Show ya Shilole mbele ya Wazanzibari
Januari 2 2016 staa wa Bongo fleva na Bongo Movie Shilole aliungana na baadhi ya wasanii wenzake akiwemo Linah, Bonge la Nyau, Baba Levo, Bill Nass na wengine kisha kudondosha burudani kwa mashabiki wa Zanzibar. Hapa nimekusogezea full video ya show kuanzia mwanzo hadi mwisho, kuitazama bonyeza Play hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari […]
The post Video: Show ya Shilole mbele ya Wazanzibari appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Shilole: Msipende Kudandia Treni Kwa Mbele Mtagongwa
Katika hali ya kujiamini kabisa, jana kwenye kipindi cha Televisheni Cha Friday Night Live kinachorushwa na kituo cha East Africa Television (EAT), Mwanamama Shiole alifunguka na kuwataka baadhi ya watu na mashabiki wake ambao wamekuwa wakimshabulia yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kutokana na kitendo ya Shilole kumzaba kibao mchumbawake huyo mbele za watu.
Shilole akionhea kwa nyodo na kujiamini aliwataka watu waasipende kudandia treni kwa mbele mtagongwa , kwani watu wameshupalia ishu...
11 years ago
GPLHEEE! DOKTA AKUTWA AKIJARIBU KUMCHOROPOA MIMBA DENTI
10 years ago
GPLHEEE! MUME AMSHTAKI MKEWE KWA WIZI WA MTOTO WAO
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Michuzi