Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEKA HEKA SERIKALI ZA MITAA KAHAMA CHADEMA YAWEKEWA PINGAMIZI MTAA WA IGOMELO

 Hii ndiyo nyumba ambayo mgombea nafasi ya mwenyekiti  wa mtaa  wa  igomelo Augustino mabula ajambo ambola mgombea wa ccm Ramadhani Morisi amepiga ya kuwa siyo mkazi wa eneo hilo .  Baadhi ya wajumbe wa vyama vya ccm na chadema wakiwa eneo la makazi ya mgombea nafasi ya serikali za mtaa wa igomela. Mwenye kuonyesha mkono moja ya mkazi wa maeneo hayo akijalibu kuonyesha hali hali ya wajumbe wa vya hivyo ukweli wa jambo hilo. Mtendaji wa kata ya Malunga Cosmas Bukango alionyesha mkono juu ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maisha ya kulea watoto na heka heka nyingine mitaani london

Moja ya mambo mazuri, makubwa yaliyofanywa na viongozi wa sasa Tanzania ni jitihada zake Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kurekebisha usafiri jijini Dar es Salaam. Siyo tu kwamba Dk Mwakyembe na wizara yake walifufua usafiri wa magari moshi jijini, bali pia wamesaidia ajira kwa mamia ya vijana.

 

9 years ago

Michuzi

HEKA HEKA ZA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA NDANI YA SOKO LA KARIAKOO JIJINI DAR

  Wananchi kutoka ndani na nje ya jiji la Dar es Salaam wakiwa katika soko Kuu la Kariako,katika maandalinzi ya Sikukuuu ya X-mass na Mwaka mpya pichani kama walivyonaswa na Camera ya Globu ya Jamii mapema jana jioni.Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.  Sehemu ya Umati wa watu ndani ya soko la Kariakoo katika harakati za maandalizi ya sikukuu ya Xmass na Mwaka mpya. Kila mmoja na heka heka zake za maandalizi ya Sikukuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Heka heka za uchaguzi Msumbiji

Wapiga kura nchini Mozambique wanaendelea na shughuli ya kumchagua rais rais mpya na wabunge.

 

11 years ago

Michuzi

Shamba linauzwa Heka 18, Bagamoyo

 Shamba hili LIMEPIMWA Ukubwa: Area 70,587m2 (SQM) Approx. Heka 18. Eneo: Kifude, Makurunge, Bagamoyo. Umbali: Shamba lipo 17km kutoka Bagamoyo mjini kuelekea barabara ya Msata, 3km kutoka barabara kuu ya Bagamoyo – Msata kuingia ndani ya shamba. Mazao yaanayoweza kupandwa: Mananasi, Mahindi, Mihogo, Miwa, Alizeti na kadhalika… BEI: Milioni Arubaini na Tisa (49m). Wasiliana na 0715766555

 

9 years ago

Michuzi

ENEO LA HEKA 38 LENYE HATI LINAUZWA ARUSHA

UKUBWA; Heka 38 ambalo ni sawa na mita za mraba 155,000 (sqm)SEHEMU: Arusha karibu na Nduruma Road, 29 KM kutoka Arusha Mjini.BEI:Tshs. 60 Million kwa Heka.Contacts: Call, SMS or WhatsApp 0788 893364               Email: tinogobba2002@yahoo.comNBEneo linauzwa LOTE na sio kwa kugawanywa.ENEO LOTE LINA HATI MILIKI

 

5 years ago

Michuzi

Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.

Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema kujipima serikali za mitaa

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu, utatoa picha halisi ya uwezo wao wa kushika dola katika Uchaguzi Mkuu 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani