Heka heka za uchaguzi Msumbiji
Wapiga kura nchini Mozambique wanaendelea na shughuli ya kumchagua rais rais mpya na wabunge.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Feb
11 years ago
Mwananchi25 May
Maisha ya kulea watoto na heka heka nyingine mitaani london
Moja ya mambo mazuri, makubwa yaliyofanywa na viongozi wa sasa Tanzania ni jitihada zake Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kurekebisha usafiri jijini Dar es Salaam. Siyo tu kwamba Dk Mwakyembe na wizara yake walifufua usafiri wa magari moshi jijini, bali pia wamesaidia ajira kwa mamia ya vijana.
10 years ago
VijimamboHEKA HEKA SERIKALI ZA MITAA KAHAMA CHADEMA YAWEKEWA PINGAMIZI MTAA WA IGOMELO
9 years ago
MichuziHEKA HEKA ZA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA NDANI YA SOKO LA KARIAKOO JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YOLfunNwYl4/UvmhOfwk1LI/AAAAAAAFMTo/WMgf21olZ_g/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Shamba linauzwa Heka 18, Bagamoyo
![](http://3.bp.blogspot.com/-YOLfunNwYl4/UvmhOfwk1LI/AAAAAAAFMTo/WMgf21olZ_g/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zd3crrl92zE/UvmhOsQ9qpI/AAAAAAAFMTs/37E4VECnYv0/s1600/unnamed+(65).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NujqYR8ni8I/VmU9bW0BAGI/AAAAAAAIKm8/YTn7uchtNuM/s72-c/index2.png)
ENEO LA HEKA 38 LENYE HATI LINAUZWA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NujqYR8ni8I/VmU9bW0BAGI/AAAAAAAIKm8/YTn7uchtNuM/s640/index2.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJmJJ2htaO8/VmU71c102rI/AAAAAAAIKmc/g1s7zWtgGlQ/s640/index1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F2hUUEHAt1g/VmU75d-wJ0I/AAAAAAAIKmk/4yHWrk9kH9w/s640/index3.png)
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi Msumbiji ni leo
Nchini Msumbiji kuna fanyika uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na wawakilishi wa majimbo, ambao ni wa kwanza wa kidemokrasia tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h*EzBeuHmYAMkkR3rElm3DErF6e7w1o9TczJppU2T3Ht1MUG5Qc3qekV5VuDP-Qj7CtrbaEK7LaDgYnuqKDTCV9/msumbiji.jpg)
UCHAGUZI MSUMBIJI KUFANYIKA LEO
Mabango ya wagombea mbalimbali wanaowania nafasi za uongozi nchini Msumbiji. Msumbiji leo inafanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa rais, wabunge na wawakilishi wa majimbo tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno. Zaidi ya watu milioni 10 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa leo, ambao unaonekana kuwa wa kwanza kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa Wareno mwaka 1975....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe7yii86d51CX-kURTUe2ZfOC7954r*902dXdXZ1CWb3ao-Fg8*GuenFZ25wosdJkO*JRWlGule7u*pfL1zH40dP/141015101342_mocambique_oposicao_624x351_reuters.jpg?width=650)
UCHAGUZI MSUMBIJI: RENAMO HATUTAMBUI MATOKEO
Kiongozi wa Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO, Alfonso Dlakama (katikati). Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO kimetoa yake ya moyoni kuwa hawatayakubali matokeo yajayo ya uraisi na ubunge pamoja na serikali za mitaa. Msemaji wa chama hicho Antonio Muchanga amesema kwamba kumekuwa na ukiukwaji wa taratibu katika upigaji kura huo na udanganyifu wa kura. Matokeo ya awali… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania