UCHAGUZI MSUMBIJI KUFANYIKA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h*EzBeuHmYAMkkR3rElm3DErF6e7w1o9TczJppU2T3Ht1MUG5Qc3qekV5VuDP-Qj7CtrbaEK7LaDgYnuqKDTCV9/msumbiji.jpg)
Mabango ya wagombea mbalimbali wanaowania nafasi za uongozi nchini Msumbiji. Msumbiji leo inafanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa rais, wabunge na wawakilishi wa majimbo tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno. Zaidi ya watu milioni 10 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa leo, ambao unaonekana kuwa wa kwanza kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa Wareno mwaka 1975....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi Msumbiji ni leo
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Uchaguzi wa Zambia kufanyika leo
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Uchaguzi Ubunge kufanyika leo Kalenga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgbydJFZA-b3B9kPEfCeMJxNLdJk9IgUONtagICWVP0W9RqiL4ZZflTqvgeJszQJDwsmCT66cXtPa-Y3RSLxfYh/150529064936_blatter_ali_640x360_pa_nocredit.jpg)
UCHAGUZI WA RAIS WA FIFA KUFANYIKA LEO USWISI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CeOmiTiETBE/VL39Dpff-dI/AAAAAAAG-ZA/0-vtQxIurNM/s72-c/Flag_of_Zambia_(1964-1996).svg.png)
UCHAGUZI MDOGO WA RAIS NCHINI ZAMBIA KUFANYIKA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-CeOmiTiETBE/VL39Dpff-dI/AAAAAAAG-ZA/0-vtQxIurNM/s1600/Flag_of_Zambia_(1964-1996).svg.png)
Mshindi katika uchaguzi huu atatawala hadi 2016 ambapo utafanyika Uchaguzi Mkuu.
Katika uchaguzi huu wagombea kutoka vyama vya siasa vipatavyo kumi na moja (11) wamejitokeza...
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe7yii86d51CX-kURTUe2ZfOC7954r*902dXdXZ1CWb3ao-Fg8*GuenFZ25wosdJkO*JRWlGule7u*pfL1zH40dP/141015101342_mocambique_oposicao_624x351_reuters.jpg?width=650)
UCHAGUZI MSUMBIJI: RENAMO HATUTAMBUI MATOKEO
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Stars kutua Msumbiji leo
MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars unatarajiwa kuondoka leo jioni Afrika Kusini kwenda Msumbiji tayari kwa mechi ya keshokutwa kuwania tiketi ya kuingia kundi F, kupigania nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wVhpcoPeO30/VVoSBPHK_ZI/AAAAAAAHYHA/5RzIWhvxzW0/s72-c/IMG_6526.jpg)
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-wVhpcoPeO30/VVoSBPHK_ZI/AAAAAAAHYHA/5RzIWhvxzW0/s640/IMG_6526.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kbPAB-RHskE/VVoSAk4IerI/AAAAAAAHYG0/-31t-fXr1tE/s640/IMG_6559.jpg)