Uchaguzi Msumbiji ni leo
Nchini Msumbiji kuna fanyika uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na wawakilishi wa majimbo, ambao ni wa kwanza wa kidemokrasia tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h*EzBeuHmYAMkkR3rElm3DErF6e7w1o9TczJppU2T3Ht1MUG5Qc3qekV5VuDP-Qj7CtrbaEK7LaDgYnuqKDTCV9/msumbiji.jpg)
UCHAGUZI MSUMBIJI KUFANYIKA LEO
Mabango ya wagombea mbalimbali wanaowania nafasi za uongozi nchini Msumbiji. Msumbiji leo inafanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa rais, wabunge na wawakilishi wa majimbo tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno. Zaidi ya watu milioni 10 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa leo, ambao unaonekana kuwa wa kwanza kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa Wareno mwaka 1975....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe7yii86d51CX-kURTUe2ZfOC7954r*902dXdXZ1CWb3ao-Fg8*GuenFZ25wosdJkO*JRWlGule7u*pfL1zH40dP/141015101342_mocambique_oposicao_624x351_reuters.jpg?width=650)
UCHAGUZI MSUMBIJI: RENAMO HATUTAMBUI MATOKEO
Kiongozi wa Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO, Alfonso Dlakama (katikati). Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO kimetoa yake ya moyoni kuwa hawatayakubali matokeo yajayo ya uraisi na ubunge pamoja na serikali za mitaa. Msemaji wa chama hicho Antonio Muchanga amesema kwamba kumekuwa na ukiukwaji wa taratibu katika upigaji kura huo na udanganyifu wa kura. Matokeo ya awali… ...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Stars kutua Msumbiji leo
MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars unatarajiwa kuondoka leo jioni Afrika Kusini kwenda Msumbiji tayari kwa mechi ya keshokutwa kuwania tiketi ya kuingia kundi F, kupigania nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wVhpcoPeO30/VVoSBPHK_ZI/AAAAAAAHYHA/5RzIWhvxzW0/s72-c/IMG_6526.jpg)
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-wVhpcoPeO30/VVoSBPHK_ZI/AAAAAAAHYHA/5RzIWhvxzW0/s640/IMG_6526.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kbPAB-RHskE/VVoSAk4IerI/AAAAAAAHYG0/-31t-fXr1tE/s640/IMG_6559.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Rs9VmuJpgs0/Vb90nVfFUbI/AAAAAAAHtnc/ipY5G5N5bps/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA MSUMBIJI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rs9VmuJpgs0/Vb90nVfFUbI/AAAAAAAHtnc/ipY5G5N5bps/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi31 Oct
10 years ago
GPL19 May
GLOBAL TV ONLINE: RAIS WA MSUMBIJI AKIWASILI BUNGENI DODOMA LEO
Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi leo amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Dodoma akisindikizwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s72-c/kipre1.jpg)
AZAM FC yashinda bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s1600/kipre1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania