Hemed PHD Ampa Shavu Mr Blue
Akiwa anafanya vyema na wimbo wake 'Imebaki Story' msanii wa muziki ambaye pia ni muigizaji nyota wa filamu wa nchini Tanzania Hemed PHD hivi sasa ameamua kumpa shavu msanii Mr Blue katika ngoma mpya inayosukwa hivi karibuni.
Hemedi ameongea na eNewz na kusema kuwa anamfagilia sana mkali huyo na hivi sasa atashiriki naye katika wimbo mpya unaoitwa 'Someday' ambao upo jikoni, huku akielezea zaidi mipango yake katika muziki kwa sasa kutokana na kujitegemea yeye binafsi katika kukuza kazi zake...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Feb
New Video: Hemed PHD — Far Away
9 years ago
Bongo504 Dec
New Music: Hemedy PHD F/ Mr Blue – Someday
![20151204042756](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151204042756-300x194.jpg)
Hemedy PHD ameachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Mr Blue. Ngoma inaitwa Someday. Kwenye wimbo huu Hemedy anamuimbia msichana ambaye haoneshi kumpa heshima anayostahili na kumchukulia pia.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-t1gK0QjW1ZI/VmGwlK-VRcI/AAAAAAAAEDE/aIp8rzoTayU/s72-c/Hemed-NEW.png)
NEW MUSIC: HEMEDY PHD - SOMEDAY ft. MR.BLUE (Download)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t1gK0QjW1ZI/VmGwlK-VRcI/AAAAAAAAEDE/aIp8rzoTayU/s400/Hemed-NEW.png)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo521 Oct
Alicia Keyz ampa shavu Wizkid la kutumbuiza kwenye hafla yake ya ‘Keep a Child Alive’
10 years ago
Bongo518 Nov
Diamond ampa shavu msanii wa ‘Barua kwa Diamond’ Meda
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED
5 years ago
Michuzi29 Apr
MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED
issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...