HII NDIO BARUA YA NAPE NNAUYE KWA WATANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nYzAIgZt6Cg/Ve7i39VmBpI/AAAAAAAAJLo/0ypyDG4PucU/s72-c/nape.jpg)
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha tarehe 6/09/2015 siku ya Jumapili mjini Tabora mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Ndg. Edward Lowassa aliamua kutumia udini kuomba kura.Ndg. Lowassa akihudhuria ibada katika kanisa la Kilutheri (KKKT) mjini Tabora amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii akidai kuwa, kwa kuwa toka nchi ipate uhuru hajawahi kutokea Rais kutoka dhehebu la Kilutheri hivyo mwaka huu ni zamu ya Walutheri.Chama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Waziri Nape Nnauye awataka Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dk John Pombe Magufuli, kazi ya kutumbua majipu ni ngumu na ina vikwazo vingi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili za kwaya ya Wakorintho wa Pili kwenye tamasha la Krismas lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana, ambapo mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini Rebecca Malope amefanya onesho kubwa lililovuta hisia za mashabiki wengi waliohudhuria katika tamasha hili akishirikiana na waimbaji mbalimbali...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio)
Baada ya taarifa kusambaa kuwa Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye ameatangaza kukamatwa kwa watu wanaovaa nguo fupi na zile za kubana mwili wakamatwe, sasa haya ndio maelezo kamili unapaswa kuyafahamu. Bonyeza Play hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ […]
The post Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni
Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/s5pXERiKVAU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s72-c/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Mahojiano na Nape Nnauye Pt II
![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s640/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s72-c/nape1.jpg)
TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s400/nape1.jpg)
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mSz4Tl4vtug/VVlQ1d0IUCI/AAAAAAAAIpM/mBazv1kxyRA/s72-c/Snapshot(72).jpg)
Ana kwa Ana na Nape Nnauye Pt I
![](http://3.bp.blogspot.com/-mSz4Tl4vtug/VVlQ1d0IUCI/AAAAAAAAIpM/mBazv1kxyRA/s640/Snapshot(72).jpg)
Ameeleza mengi akianza na Hali ya chama hivi sasa.
KARIBU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjVE5APhBgktfEzd3uYw7cB7zILXuUa-noYpPUZcJ2M15XRoOPcgmPJE4*MeH*QWZCAe-QqFQZPntRXrzn*93iGA/25c0CCM.jpg)
BARUA KALI KWA CCM NA WATANZANIA WOTE