Hii Ndiyo Mipango Mipya ya Wema Sepetu
Meneja Wema Sepetu, Martin Kadinda amesema mpango alionao ni kumtoa mwanadada huyo katika drama na kumfanya awe mfanyabiashara mkubwa mwaka 2016.
![Wema Sepetu na Martin Kadinda](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WEMAA134.jpg)
Wema Sepetu na Martin Kadinda
Kadinda ambaye pia ni mbunifu wa mavazi, ameiambia Bongo5 kama Wema akiweza kubadilika na kuacha drama, atakuwa na mafanikio makubwa.
“Wema is a business woman, kitu ambacho nitakifanya ni kuhakikisha anasimama kama mfanyabiashara,” alisema.
“Kuna kipindi tulikuwa tayari tumeondoka kwenye drama na mimi nikasimama na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Dec
Kadinda ataja mipango mipya kwa Wema Sepetu
![wemaa na kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/wemaa-na-kadinda-200x198.png)
Meneja Wema Sepetu, Martin Kadinda amesema mpango alionao ni kumtoa mwanadada huyo katika drama na kumfanya awe mfanyabiashara mkubwa mwaka 2016.
Kadinda ambaye pia ni mbunifu wa mavazi, ameiambia Bongo5 kama Wema akiweza kubadilika na kuacha drama, atakuwa na mafanikio makubwa.
“Wema is a business woman, kitu ambacho nitakifanya ni kuhakikisha anasimama kama mfanyabiashara,” alisema.
“Kuna kipindi tulikuwa tayari tumeondoka kwenye drama na mimi nikasimama na kazi zangu nyingine akarudi...
10 years ago
Bongo Movies03 Aug
Hapa na Pale: Hii ndiyo Mistari ya Nuh Mziwanda Alipokuwa Anamtongoza Wema Sepetu, Utavunja Mbavu
Kwa jinsi teknolojia ilivyokua watu wanapaswa kuwa makini sana kwa simu wanazopiga na maneno wanayoongea
Nuh Mziwanda amejikuta akiumbuka vibaya baada ya Wema Sepetu kuvujisha sauti anayosikika akimtongoza mrembo huyo. Mazungumzo hayo yanachekesha sana hasa kutokana na mistari anayompa Miss Tanzania huyo wa zamani. Haya ni maongezi yaliyofanyika mwezi June (siku moja kabla ya KTMA 2015). Tunafahamu wapo wasioweza kusikiliza clip yote hivyo tumekuandikia mazungumzo hayo.
Nuh Mziwanda: Kuna...
10 years ago
CloudsFM15 Aug
DIAMOND:MARAFIKI NDIYO WANAOMPOTEZA WEMA SEPETU
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram usiku huu akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe zisizo na faida.
Katika ujumbe huo, Diamond ameandika kuwa angewaona mashabiki wa mrembo huyo wana akili na mapenzi ya dhati kama wangemshauri apunguze mashoga wapenda anasa na kuacha starehe zisizo na faida na kutumia fedha kufanya mambo ya maendeleo kuliko kuvifaidisha viwanda vya...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
CECAFA inahitaji mipango mipya
PAMOJA na kuwa ni miongoni mwa mashirikisho makongwe barani Afrika, Kusini mwa Sahara, Baraza la
Mwandishi Wetu
10 years ago
VijimamboWEMA SEPETU ''NIMEPAPENDA GHANA NA HII PICHA NI DEDICATION KWA MTU''
10 years ago
Vijimambo13 Mar
HII NDIYO PROJECT YA WEMA NA OMMY DIMPOZ LIVE BILA CHENGA
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/wwwwwwwwwwwwwwww.png?resize=473%2C245)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/weee.jpg?resize=506%2C506)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/wdddddddddd.jpg?resize=506%2C506)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/bbbbb.jpg?resize=499%2C499)
10 years ago
VijimamboBIRTHDAY GIRL WEMA HII NDIYO ZAWADI YAKE KUTOKA KWA MR PLATNUMZ
Jitiririshe na surprise gift ya birthday ya Wema na utakubari mapenzi yao na Diamond ni Special given. Habari ndiyo hiii mambo mengine mwachie baba na mama na movie hii siyo ya leo wala kesho.