Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIKI NDICHO KILICHOPITISHWA WILAYANI ARUMERU MKOANI ARUSHA

Photo: Wakazi wa Arumeru mkoani Arusha wamejipitishia sheria ambayo tayari imeanza kutumika ya kuwatandika viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi.  Je, unawaunga mkono katika hilo na sheria hii ianze Tanzania nzima au unawapinga?Wakazi wa Arumeru mkoani Arusha wamejipitishia sheria ambayo tayari imeanza kutumika ya kuwatandika viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi.Je, unawaunga mkono katika hilo na sheria hii ianze Tanzania nzima au unawapinga?

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA

 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha , Fidelis Lumato akikata utepekuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtelkatika kijiji cha Nduruma, wilayani Arumeru Mkoani Arusha ,akishuhudia ni Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, BrightonMajwala. Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala akitoa msaadawa vitabu  Mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya sekondari Singisi , HamadBoay , wakati wa uzinduzi wa huduma manara wa huduma za mawasiliano wakampuni ya simu za...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA‏

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha , Fidelis Lumato akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel katika kijiji cha Nduruma, wilayani Arumeru Mkoani Arusha , akishuhudia ni Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala. Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala akitoa msaada wa vitabu Mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya sekondari Singisi , Hamad Boay , wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA ARUMERU MAGHARIBI MKOANI ARUSHA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi kwa kupeleka zege kwenye eneo husika wakati wa ujenzi wa daraja la Kisongo,ambalo lilikuwa kero kubwa kwa wananchi kutokana na barabara ya eneo hilo kulika na mmomonyoko wa udongo.Ujenzi wa daraja la Kisongo ukiendelea kwa kasi,ambapo pia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alikagua na kushiriki ujenzi wake.Baadhi ya wananchi wa Kisongo wakipita juu ya barabara ambayo imeanza kuathirika na mmomonyoko wa udongo.   Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hiki ndicho kinachomstahili Warioba?

MWAKA 2012, Tume ya Rais ya Mabadiliko ya Katiba iliundwa chini ya uongozi wa Jaji mstaafu Joseph Warioba. Juni 4, 2013 rasimu ya kwanza ikatoka, na wananchi kupitia makundi mbalimbali...

 

9 years ago

Bongo5

Hiki ndicho Daz Baba anachojivunia

Rapper Daz Baba amesema anachojivunia katika muziki wake mpaka sasa ni kiwanja pamoja na muziki wake kuwa mfano kwa wengine. Daz ameiambia Bongo5 leo kuwa haangalii anaingiza pesa kiasi gani ila anaangalia mchango wake kwenye muziki. “Mafanikio yangu kwenye muziki ni kuwa na identity yangu. Muziki wangu umekuwa na mchango sana kwenye muziki huu. Kwenye […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Hiki Ndicho Kilichomuachisha Shule Riyama

Staa wa Filamu Bongo, Riyama Ally ameweka wazi kuwa hakumaliza elimu ya sekondari kutokana na ugumu wa masomo kwani hakuwa akiambulia chochote darasani licha ya walimu kujitahidi kufundisha kwa kiwango cha juu.

Akizungumza na Ijumaa  hivi karibuni, Riyama alisema kuwa kutokana na umbumbumbu wake alilazimika kuishia kidato cha pili baada ya masomo kuzidi kuwa magumu.

“Kwa kweli ugumu wa masomo ulinifanya niache shule, niliona kama wazazi wanapoteza pesa yao bure, sikuwa naambulia chochote,...

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDICHO KIRUSI KINACHOITAFUNA SIMBA

Simba ni klabu kubwa sana katika historia ya soka nchini na Afrika Mashariki na Kati kiujumla. Hii haina ubishi kutokana na mafamikio yake katika soka miaka ya nyuma hadi ikafikia hatua ya kupachikwa jina la “TAIFA KUBWA”.
Simba ilikuwa tishio lakini kwa miaka ya hivi karibuni imegeuka na inaandamwa na matokeo mabovu.Mwaka 2011-2012 Simba iliambulia nafasi ya 3 katika ligi ikiwa nyuma ya Yanga na Azam, msimu wa mwaka 2013-2014 ilishika nafasi ya 4 nyuma ya Azam, Yanga na Mbeya City iliyoingia...

 

9 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho tunasubiri katika michezo

Kipindi ambacho sekta ya michezo ilikuwa inahitaji fedha kwa ajili ya kusomesha watalaamu na kugharimia maendeleo yake, Serikali iliwakatisha tamaa wadau wa michezo ilipopitisha uamuzi wa kusikitisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hiki ndicho kinacho mstahili Warioba?-2

KUPITIA gazeti  hili toleo namba 3414 la tarehe 9 Aprili, 2014, niliandika makala yenye kichwa cha habari “hiki ndicho kinachomstahili Warioba”?  Maudhui yake yalijikita katika kuonesha utovu wa nidhamu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani