Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Historia ya nyanya isiyofahamika kwa wengi

KAMA ilivyo hulka ya binadamu wengi, si rahisi kukubali jambo au kitu kipya hata kama jambo hilo litakuwa na manufaa kwake na kwa jamii iliyomzunguka. Karne nyingi zilizopita, mmea usiopendeza wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

KIWANDA CHAHITAJI TANI 200 ZA NYANYA KWA SIKU

Soko la nyanya lisilo rasmi kando ya Mto Mlowa unaotenganisha vijiji vya Uhominyi na Iyayi katika Kata ya Image wilayani Kilolo. (PICHA NA DANIEL MBEGA) Na Daniel Mbega, Iringa KILIO cha wakulima wa nyanya mkoani Iringa cha ukosefu wa masoko ya zao hili sasa kinaonekana kupata ufumbuzi kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kusindika bidhaa za mbogamboga kukaribia kukamilika, KwanzaJamii.com inaripoti kwa uhakika. Kiwanda hicho kipya ambacho kipo chini ya kampuni ya Darsh Industries Limited...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

GPL

AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI

Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza

c5

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

Rais Kikwete,...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyanya zatumika kutengenezea mvinyo

Ukosefu wa soko la nyanya wilayani Makambako, Mkoa wa Njombe umechagiza utengenezaji wa mvinyo unaotumia nyanya.

 

5 years ago

CCM Blog

NYANYA ZAPANDA BEI DODOMA

   SABABU ni mvua! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wafanyabiashara wa zao la nyanya kuitaja mvua kama sababu iliyochangia kupanda kwa bei ya zao hilo kwa siku za hivi karibuni kwenye maeneo mbalimbali nchini na Dodoma ikiwemo.

Kwa siku za hivi karibuni zao la nyanya limeshika umaarufu mkubwa midomoni mwa watu kutokana na kupotea kwake sokoni na zinapopatikana basi bei yake imekua juu tofauti na ilivyozoeleka.

Michuzi Blogu imefanya uchunguzi wake katika masoko ya Sabasaba na Majengo ambapo...

 

9 years ago

Mwananchi

Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban

Wakati Simba ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, imebainika kuwa Wekundu hao wa Msimbazi waliingia uwanjani wakiwaza namna ya kumkaba kiungo wao wa zamani Haruna Moshi ‘Boban’.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za mahindi, nyanya zawatesa wakulima

Wakulima wa nyanya na nafaka wa Tarafa ya Mazombe wamelalamikia kushuka kwa bei ya mazao hayo, huku pembejeo zikizidi kupanda bei.

 

11 years ago

Mwananchi

Juisi ya nyanya tiba usiyoijua kiafya

Wengi wetu tunaifahamu nyanya kama kiungo kwenye mapishi yetu au hata kachumbari kwenye mlo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani