Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIWANDA CHAHITAJI TANI 200 ZA NYANYA KWA SIKU

Soko la nyanya lisilo rasmi kando ya Mto Mlowa unaotenganisha vijiji vya Uhominyi na Iyayi katika Kata ya Image wilayani Kilolo. (PICHA NA DANIEL MBEGA) Na Daniel Mbega, Iringa KILIO cha wakulima wa nyanya mkoani Iringa cha ukosefu wa masoko ya zao hili sasa kinaonekana kupata ufumbuzi kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kusindika bidhaa za mbogamboga kukaribia kukamilika, KwanzaJamii.com inaripoti kwa uhakika. Kiwanda hicho kipya ambacho kipo chini ya kampuni ya Darsh Industries Limited...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tani 200,000 za silaha zateketezwa

 Katibu Mkuu wa EAC, Richard SeziberaTANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000

Baada ya Sekta Binafsi kuendesha sekta ya reli pasi na mafanikio ya kuridhisha, mwaka 2011, Serikali iliamua kutengua rasmi mkataba wake na Kampuni ya Reli ya India ya Rites.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Historia ya nyanya isiyofahamika kwa wengi

KAMA ilivyo hulka ya binadamu wengi, si rahisi kukubali jambo au kitu kipya hata kama jambo hilo litakuwa na manufaa kwake na kwa jamii iliyomzunguka. Karne nyingi zilizopita, mmea usiopendeza wa...

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya tani 250 za miwa zatupwa Kilombero kwa  Madai Ya Kutofaa Kwa Uzalishaji

 

Wakulima wa miwa wilayani  kilombero wamepata hasara ya zaidi ya shilingi Milioni 30 baaada ya kiwanda cha sukari cha ILOVO kilichopo wilayani humo  kukataa kuchukua tani 250 za miwa iliyovunwa kwenye mashamba ya wakulima hao, kwa madai kuwa  miwa hiyo imekaa muda mrefu baada ya kuvunwa na hivyo kutofaa kwa uzalishaji wa sukari.

Wakulima wanaulalamikia uongozi wa kiwanda hicho  kwa hasara waliyopata  kwani  novemba 14 kiwanda kiliagiza   wakulima kuanza kuvuna miwa yao , ambapo wakulima...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji


NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONJO ATHIBITISHA KUINGIA KWA TANI 90 ZA SUKARI MOROGORO.


MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amethibitisha kuingia kwa Sukari tani 90 kufuatia kupanda kwa bei ya sukari katika Wialaya ya Morogoro.

Hayo ameyazungumza Mei 11, 2020 Ofisini kwake katika kikao cha waandishi wa habari juu ya suala la kupanda kwa bei ya Sukari katika Wilaya ya Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari, DC Chonjo, amesema suala la Sukari limekuwa changamoto sana na sio Wilaya ya Morogoro hata Mkoa Mzima wa Morogoro sukari imekuwa tatizo.

Chonjo, amesema...

 

10 years ago

GPL

AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI

Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yatenga tani 13,630 kwa ajili ya chakula cha njaa.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Serikali imesema inaendelea na zoezi la usambazaji wa chakula cha njaa kwenye maeneo yaliyotathminiwa kuwa na upungufu wa chakula ambapo jumla ya tani 13,630 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo na tayari tani 7,560 zimekwishasambazwa kwa walengwa.

 

Miongoni mwa mikoa hiyo ni pamoja na Arusha, Kilimanjaro, Simiyu, Manyara, Tabora, Mara, Kagera, Lindi, Mtwara, Morogoro, Singida na Katavi.

 

Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa 2013/14 ulifikia...

 

5 years ago

Michuzi

TANDAHIMBA KUVUNA ZAIDI YA TANI MIA NANE YA ZAO LA UFUTA KWA MSIMU HUU,

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema wanatarajia kupata zaidi ya tani Mia nane ya zao la ufuta kwa msimu huu 2020

Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima  Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele

"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa  wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba

Aidha amewataka wakulima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani