Juisi ya nyanya tiba usiyoijua kiafya
Wengi wetu tunaifahamu nyanya kama kiungo kwenye mapishi yetu au hata kachumbari kwenye mlo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Ongezeko la ugonjwa wa Malaria na U.T.I kwa wananchi wanaoishi vijijini na idadi ndogo ya madaktari nchini ni baadhi ya sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa wagonjwa wengi kukimbilia kwa waganga wa tiba za jadi kupata matibabu licha ya magonjwa hayo kuwa na tiba za uhakika Hospitali na kwenye vituo vya Afya.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi
>Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyikaa katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba ambazo kwa ushauri wa daktari hata wewe unaweza kuziandaa bila kutumia gharama kubwa.
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah. Kutoka kushoto ni Kaimu Msajili wa tiba Asili Mboni Bakari, Mwenyekiti, Profesa Rogassian Mahunnah na Mfamasia Lucy Samweli. BARAZA hilo limesema halitambui vipindi na matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala yanayoendelea kwa sasa kwenye vyombo vya habari… ...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Uzuri wa juisi ya miwa
Inafurahisha kuona kuwa wapo wafanyabiashara wengi jijini Dar es Salaam wanaouza juisi ya miwa. Kimsingi juisi hii ni sukari halisia ambayo haijachakatwa. Sukari halisia ni nzuri kwa mwili kwani ina virutubisho na madini kwa wingi.
9 years ago
Michuzi24 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGH1NszJfnfP19OLpQU*1Zf5Vk4SkJy1DGV4w4ussP*Lpf3W59KF7x0kjjE2lJLhjtjYEYVjsJruJxZLLoM-2Y9L/juice.jpg?width=650)
UWEZO WA AJABU WA JUISI YA KITUNGUU-2
Wiki iliyopita tuliandika kuhusu juisi ya kitunguu, leo tunaendelea kufafanua faida zake hasa kwa nywele za binadamu. Jambo muhimu la kuzingatia wakati wa usiku ni muda wa kumaliza kula na kunywa juisi hiyo. Hakikisha unakunywa juisi yako angalau masaa mawili baada ya kula chakula chako cha mwisho jioni. Kama tatizo lako ni kubwa, kunywa juisi hii asubuhi na jioni hadi utakapoona tatizo la kutoka damu wakati wa kujisaidia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DIvOWCL9Hb92Bon5l-xwv2D2Ie6*jV03gS8JfFHClfbBrBhhgw53kHAmZFiVcynObvMKfQNcGpJfvz6hCSY0OM/vitunguu.jpg?width=650)
UWEZO WA AJABU WA JUISI YA KITUNGUU
Kuna magonjwa mengine yakikupata hujui hata namna ya kujitibu. Lakini kwa kutumia vyakula na matunda unaweza ukashangaa namna ambavyo unaweza kuliondoa tatizo ambalo pengine ulidhani halina tiba. Katika makala haya ya leo, nakuletea uwezo wa ajabu unaopatikana kwenye juisi ya kitunguu maji (Onion) kama tiba. Kuna maradhi mengi yanayoweza kutibika kirahisi kabisa kwa kunywa juisi ya kitunguu, vilevile kuna maradhi mengi unaweza...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Nyanya zatumika kutengenezea mvinyo
Ukosefu wa soko la nyanya wilayani Makambako, Mkoa wa Njombe umechagiza utengenezaji wa mvinyo unaotumia nyanya.
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban
Wakati Simba ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, imebainika kuwa Wekundu hao wa Msimbazi waliingia uwanjani wakiwaza namna ya kumkaba kiungo wao wa zamani Haruna Moshi ‘Boban’.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania