Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HITIMISHO LA MSIBA WA BI. MAGDALDENA CHAGULA

Familia ya marehemu Dr. Albert na Mwl Magdalena Chagula, tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa mapadre na paroko wa kanisa la Mt. Francis Xavery, Chang'ombe, wajane wote, ndugu, jamaa, marafiki na majirani wote walioshiriki nasi wakati wa msiba wa mpendwa mama yetu Mwl. Magdalena Chagula aliyefariki tarehe 24/6/2015.
Katika kumalizia msiba huu, tutakuwa na Misa jumamosi hii tarehe 8/8/2015 kanisani chang'ombe saa 2 kamili asubuhi na baada ya hapo tutaelekea Makaburini Kinondoni kwa ajili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA CLEMENT CHAGULA

Familia ya Chagula inasikitika kutangza kifo cha baba yao mpendwa Clement Chagula kilichotokea siku ya Ijumaa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili, Dar es salaam.
Misa ya kumuaga marehemu itafanyika katika kanisa la st Albans jijini Dar es salaam siku ya Jumatatu tarehe 21 Julai 2014 saa saba mchana. Baada ya hapo mazishi yatafanyika katika makaburi ya kinondoni.
Bwana alitoa Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiweAmen

 

5 years ago

Michuzi

REMEMBERING THE LATE Dr. WILBERD CHAGULA: THE FIRST INDIGENOUS PRINCIPAL OF THE UNIVERSITY COLLEGE OF DSM


By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. Introduction

The late Dr. WILBERD KUMALIJA CHAGULA was one of the most distinguished, most prominent and highly respected citizens of this country who trained in Medical Science and served as an Academician, a Member of Parliament, a Minister  and, eventually a Diplomat before he breathed his last.

2. Birth  Date & Place

The late Dr. CHAGULA was born on 3.2.1926 at Mondo Isulilo, Shinyanga, where his father was a prosperous farmer.

3. Dr. CHAGULA's Education

3.1...

 

10 years ago

Mwananchi

Aina za maneno ya Kiswahili (hitimisho)

Viwakilishi ni maneno yanayotumika badala ya majina au nomino. Zifuatazo ni baadhi ya aina za viwakilishi na mifano yake.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ajenda muhimu kuhusu Oktoba 25 - hitimisho

KATIKA mfululizo wa makala hizi ambazo zililenga katika kubadilishana mawazo na wasomaji kwa leng

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Historia ya Serikali za Mitaa Tanzania — hitimisho

Serikali za Mitaa ni vyombo vya wananchi ambavyo kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huundwa, huendeshwa na huwajibika kwa wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

HITIMISHO LA SHINDANO LA ELIMU YA UWEKEZAJI KWA WANAZUONI (DSE SCHOLAR INVESTMENT CHALLENGE) KUFANYIKA AGOSTI 13 2014

Soko la Hisa Dar es Salaam (Dar es Salaam Stock Exchange), kwa udhamini wa benki ya NMB, Selcom na FSDT, linapenda kuwajulisha wanafunzi wa elimu ya juu nchini walioshiriki katika shindano la elimu ya uwekezaji kwa mwaka 2014 (DSE Scholar Investment Challenge 2014) kuwa maandalizi yote ya kuhitimisha shindano hili kwa sasa yamekamilika.


Mchakato wa kutambua nafasi ya kila mshiriki wa shindano umemalizika. Majina ya wanafunzi 50 wanaoongoza katika shindano hilo yamebandikwa katika mtandao wa...

 

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani