HITIMISHO LA SHINDANO LA ELIMU YA UWEKEZAJI KWA WANAZUONI (DSE SCHOLAR INVESTMENT CHALLENGE) KUFANYIKA AGOSTI 13 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-U6R-QXUpgac/U-NAA3qU8dI/AAAAAAACm8w/EXsICt9gl-g/s72-c/New+Picture.png)
Soko la Hisa Dar es Salaam (Dar es Salaam Stock Exchange), kwa udhamini wa benki ya NMB, Selcom na FSDT, linapenda kuwajulisha wanafunzi wa elimu ya juu nchini walioshiriki katika shindano la elimu ya uwekezaji kwa mwaka 2014 (DSE Scholar Investment Challenge 2014) kuwa maandalizi yote ya kuhitimisha shindano hili kwa sasa yamekamilika.
Mchakato wa kutambua nafasi ya kila mshiriki wa shindano umemalizika. Majina ya wanafunzi 50 wanaoongoza katika shindano hilo yamebandikwa katika mtandao wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0sNE1quXY3U/U-yGPegGr5I/AAAAAAACnWQ/EXX7eIDWQFE/s72-c/New%2BPicture%2B(5).png)
washindi wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” wapatikana jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0sNE1quXY3U/U-yGPegGr5I/AAAAAAACnWQ/EXX7eIDWQFE/s1600/New%2BPicture%2B(5).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXZjXunwsQM/U-yGNOpxS8I/AAAAAAACnWI/ZdQ6qT-J6wM/s1600/New%2BPicture%2B(6).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hBTkE1sRVMQ/U-yGVcdmdGI/AAAAAAACnWY/eowHPBJ2W-Q/s1600/New%2BPicture%2B(7).png)
10 years ago
MichuziNMB NA DSE WAZINDUA SHINDANO LA UWEKEZAJI KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA JUU NCHINI
Soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) kwa kupitia udhamini wa benki ya NMB imezindua shindano la uwekezaji lijulikanalo kama ‘DSE Scholar Investment Challenge’ linalowahusisha wanafunzi kutoka vyuo vikuu ambapo washindi wanatarajia kuibuka na kitita cha shilingi milioni 2 na nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo.
Shindano hilo ambalo litadumu kwa miezi mitatu, litawakutanisha wanafunzi wa vyuo vikuu ambao watapewa mitaji ya kielectroniki (Virtual Capital) ya shilingi milioni moja na wao kufanya...
Shindano hilo ambalo litadumu kwa miezi mitatu, litawakutanisha wanafunzi wa vyuo vikuu ambao watapewa mitaji ya kielectroniki (Virtual Capital) ya shilingi milioni moja na wao kufanya...
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
9 years ago
VijimamboKONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI KUFANYIKA AGOSTI 28-30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi11 Aug
SIKU YA VIJANA DUNIANI KUFANYIKA AGOSTI 24, 2014
![Picha no 1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/djLYJ28hsrvBA7m9stUALdzcafAHmv-auL9QflvnYdUkJV_M761pN3MH4UpGbEQVAw1oD2PXpHWKnxZSwo1CYa1kbtNywfxWgfK1uN9pWv8AFRxNF4x1pZuFsEgIuA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/Picha-no-1.jpg)
NI NA MICHEZO DKT FENELLA MUKANGARASiku ya Vijana Duniani itafanyika tarehe 12 Agosti, 2014 ikiwa na lengo la kuyafanya masuala mbalimbali ya vijana kutambulika katika jamii ya Kimataifa. Mwaka huu, ujumbe ni “Vijana na Afya Kiakili”. Tarehe hii iliamuliwa kuwa Siku ya Vijana Duniani na Umoja wa Mataifa mwaka 1999. Hii ni Siku maalum inayodhihirisha kutambua kazi muhimu zinazofanywa na vijana na umuhimu wake katika jamii pamoja na kuwapa fursa kwa ajili ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzepA0Xrp1npx820Z71lTD7d0AYZrGTaBSHzaaOa8Ybu0F8uEwpnslHPdxr0oAeFw6PBGrW*fW-G5fWYkT1sIs02/miss.jpg?width=650)
FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22
Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la pamoja ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam Agosti 22, 2014. Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo kuwania taji hilo. Warembo…
11 years ago
Michuzi12 Aug
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA KUFANYIKA AGOSTI 30, 2014.
![](https://2.bp.blogspot.com/-Fquj7L3s4Xc/U-i_AC-3awI/AAAAAAAC6OM/noGwqWFXCuQ/s1600/ccmuk.jpg)
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RAKmEUklrkk/VI9BH2n5XNI/AAAAAAADSD4/j8Oud0FKEDk/s72-c/KONGAMANO%2BLA%2BUWEKEZAJI%2BSEKTA%2BYA%2BUTALII%2BKUFANYIKA%2BDUBAI%2BTAREHE%2B1_0001.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania