Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIV WANAVYOINGIA KATIKA SELI ZA MWILI WA BINADAMU-2

Tunaendelea kuchambua jinsi virusi wa HIV wanavyoingia katika seli za mwili wa binadamu hatua kwa hatua. Endelea. Baada ya HIV kufanikiwa kubadilisha RNA yake kuwa DNA, ni lazima sasa HIV aingize DNA yake hii mpya kuingia kwenye DNA ya seli ya binadamu ili aweze kuthibiti kikamilifu na kuamrisha matendo na kazi zote za seli nyeupe ya binadamu ili seli hiyo iweze kufanya inavyotaka HIV. Kitendo hiki huitwa integration na hufanyika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ini linavyochangia afya katika mwili wa binadamu

Ini ni miongoni mwa viungo vitano vya lazima mwilini kwa ajili ya kuwezesha maisha.

 

10 years ago

Michuzi

ATHARI ZA MADINI YA ZEBAKI KATIKA MWILI WA BINADAMU

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya  Makamu wa Rais Anjelina Madete(katikati)  akifungua mkutano wa  Mkataba wa  Minamata kuhusu  madini ya zebaki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock  jijini Dares Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira kutoka ofisi hiyo, Joseph Kihaule na  kushotoni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren. Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Joseph Kihaule (kushoto)akisisitiza jambo wakati akiongoza mkutano wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Habari njema katika vita dhidi ya HIV

Kuna uwezekano kuwa janga la ukimwi huenda likadhibitiwa ifikapo mwaka 2030 , kulingana na ripoti iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi.

 

5 years ago

Hiptoro

Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV...

Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV...  Hiptoro

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari katika mzozo wa haki za binadamu

KUMEIBUKA msuguano ndani ya Serikali na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuhusiana na tuhuma za unyanyasaji dhidi ya wafanyakazi, wakiwamo wanawake. Kutokana na taarifa hizo kuvuja katika vyombo vya habari...

 

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa maji katika mwili

Maji huunda zaidi ya theluthi mbili ya miili yetu, lakini wengi wetu huacha kunywa maji na kunywa vinywaji vingine tukisahau kunywa maji ya kutosha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Seli mundu tishio kwa watoto

ASILIMIA 90 ya watoto zaidi ya 8,000 wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu kila mwaka nchini, hufariki dunia kabla ya kufikisha miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utafiti waibua mapya ugonjwa wa seli mundu

WAGONJWA wa seli mundu wenye idadi kubwa ya chembechembe za damu zijulikanazo kama ‘fetal hemoglobin’ hawaugui mara kwa mara na makali ya ugonjwa huo yanapungua. Hayo yalibainishwa jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Ubongo wa mtu una seli 100 bilioni za mawasiliano

>Ubongo ni kiungo cha aina yake katika mwili wa binadamu. Ubongo hutoa kila fikira, tendo, kumbukumbu, hisia na uzoefu wa kidunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani