Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hivi Ndivyo Lulu Alivyosherekea Krismasi Nyumbani Kwao Kilimanjaro

lulu33

“Proudly Chagga❤️❤️❤️”-By Lulu on Insta

Staaa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ilimbidi afunge safari hadi mkoni Kilimanjaro kwenye kula siku kuu ya Krismasi mwaka huu.
Akiwa yeye pamoja na wazazi wake wote wawili Lulu ameshare nasi picha hizi kupitia ukurasa wake mtandaoni.
“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi vidole sikuhizi havina mfupa”- Lulu aliandika kiutani kwenye picha hiyo hapo chini akiwa na baba yake.

“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi vidole sikuhizi havina mfupa-L

“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hivi ndivyo 'Panya Road' wanavyonza

Hofu  ya uvamizi wa kundi la Panya Road kwa mara nyingine iliwakumba wakazi wa Tabata Machi 10 na kusababisha shughuli mbalimbali kusimama.

 

11 years ago

GPL

HIVI NDIVYO GLOBAL TV ONLINE ILIVYOZINDULIWA

Uzinduzi wa Global TV Online uliofanyika Aprili 16, 2014 ndani ya ofisi za Kampuni ya Global Publishers Ltd na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali. Kwa matukio mbalimbali ya Global TV Online, Ingia  …

 

9 years ago

GPL

HIVI NDIVYO WAZIRI ALIVYOZUA TIMBWILI

KUFUATIA tukio la Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani juzikati kugeuka ‘bondia’ kwa ‘kumwanzishia’ timbwili msimamizi wa uchaguzi wa marudio wa kura za maoni ya ubunge kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Busega, Simiyu na kusababisha matokeo yasitangazwe, wadau wameibuka na kusema yote hayo ni machungu ya kukatwa.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1Mzdawt ...

 

11 years ago

Mwananchi

Utekaji wa ndege Ethiopia; hivi ndivyo ilivyokuwa

>Msaidizi wa rubani wa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, Halimedhin Abera, ndiye aliyebainika kuteka moja ya ndege za shirika hilo hivi karibuni.

 

10 years ago

GPL

HIVI NDIVYO MUME ALIVYOMCHINJA MKEWE HOTELINI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi
HUU ni ukatili namba moja kwa wanandoa duniani! Bado picha haijatoka kichwani kwa wakazi wa Manzese jijini Dar kufuatia kifo cha kuchinjwa cha  Josephine Ndengaleo Mushi kinachodaiwa kufanywa na mume wake wa ndoa, Remy Joseph (35). Remy Joseph (35) anayetuhumiwa kumuua mke wake, Josephine Ndengaleo Mushi. Tukio hilo la kutisha kusimuliwa achilia mbali kuona, lilijiri saa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO TOHARA ZA KABILA LA KIKURYA ZINAVYOFANYIKA

Wanamwita "Dokta" wa kijiji cha Ryamisanga wilayani Butiama akiendelea na shughuli yake ya kumtahiri kijana kwa dakika 17 bila ganzi.Baadhi ya vijana ambao wameshatahiriwa wakimtizama mwenzao ambaye anafanyiwa tohara"Dokta" akijiandaa kuifanya kazi yakeMashuhudakwa picha zaidi bofya soma zaidiBaadaye ni vinywajiMsosi kama huu pia ulikuwepoPicha, maelezo na Shomi Binda

 

9 years ago

Bongo5

Hivi ndivyo Wahyda anavyompenda mumewe Mr. Blue

Mke wa rapper Mr. Blue, Wahyda ameelezea jinsi hitmaker huyo wa Pesa alivyobadilisha maisha yake kwa kujaza furaha ndani ya familia yake. “Baba wawili, baba watoto wangu, uko tofauti sana wacha nikupende daddy ur care & love ts undefine,” ameandika Wahyda kwenye Instagram. “Unanipenda nikiwa mzima unanipenda zaid nikiumwa..unanipenda kwenye raha unanipenda na kunijar zaid […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani