Hivi ndivyo Wahyda anavyompenda mumewe Mr. Blue
Mke wa rapper Mr. Blue, Wahyda ameelezea jinsi hitmaker huyo wa Pesa alivyobadilisha maisha yake kwa kujaza furaha ndani ya familia yake. “Baba wawili, baba watoto wangu, uko tofauti sana wacha nikupende daddy ur care & love ts undefine,” ameandika Wahyda kwenye Instagram. “Unanipenda nikiwa mzima unanipenda zaid nikiumwa..unanipenda kwenye raha unanipenda na kunijar zaid […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 May
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWC3wI74cIwUxN4k-tv7MfXZmd8UUBY-x2xZNYQvk3ECFRZabSBuJ*orbsxLp1nmsrQhM40T-wzVx7nXwPExKwUq/Waziri.gif?width=650)
HIVI NDIVYO WAZIRI ALIVYOZUA TIMBWILI
KUFUATIA tukio la Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani juzikati kugeuka ‘bondia’ kwa ‘kumwanzishia’ timbwili msimamizi wa uchaguzi wa marudio wa kura za maoni ya ubunge kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Busega, Simiyu na kusababisha matokeo yasitangazwe, wadau wameibuka na kusema yote hayo ni machungu ya kukatwa.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1Mzdawt ...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6YYgylydxgc/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Hivi ndivyo 'Panya Road' wanavyonza
Hofu ya uvamizi wa kundi la Panya Road kwa mara nyingine iliwakumba wakazi wa Tabata Machi 10 na kusababisha shughuli mbalimbali kusimama.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
HIVI NDIVYO GLOBAL TV ONLINE ILIVYOZINDULIWA
Uzinduzi wa Global TV Online uliofanyika Aprili 16, 2014 ndani ya ofisi za Kampuni ya Global Publishers Ltd na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali. Kwa matukio mbalimbali ya Global TV Online, Ingia  …
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Utekaji wa ndege Ethiopia; hivi ndivyo ilivyokuwa
>Msaidizi wa rubani wa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, Halimedhin Abera, ndiye aliyebainika kuteka moja ya ndege za shirika hilo hivi karibuni.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12107262_10203566066031418_6703966378237878945_n.jpg)
HIVI NDIVYO HELIKOPTA ILIVYOMUUA SHUJAA FILIKUNJOMBE
Polisi na wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya Chopa kuteketea kwa moto. AJALI ya chopa (helikopta) iliyotokea usiku wa kuamkia jana, Oktoba 16, 2015 katika Hifadhi ya Selous, eneo la Msolwa mkoani Morogoro, imeyakatisha maisha ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la ludewa, Mhe. Deo Filikunjombe (43), pamoja na watu wengine watatu waliokuwa ndani ya helikopta hiyo. Deo Filikunjombe. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/qx5xOHBYBAQ/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania