Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja:Nini kinateteresha ndoa Tanzania?

Kadri ya miaka inavyozidi kwenda mbele inaonekana ni rahisi wanandoa kufikia hatua ya kutamkiana wazi kuwa sasa basi na kweli inakuwa basi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Ukawa inatumia hoja ya mfumo?

VIONGOZI wa vyama vinavyounda Ukawa kwa makusudi na kwa malengo maalumu wameamua kubadili mtazamo

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya unene katika ndoa

Je ni kweli wanawake walio katika ndoa kuwa wanene kupita kiasi ndio sababu ya waume zao kuwa na mipango ya kando?

 

9 years ago

GPL

KWA NINI MWANAUME WA ZAMANI AKUVUNJIE NDOA?

BILA shaka yoyote kwamba mmeamka na afya njema na mnaendelea vizuri sana na ujenzi wa taifa, hasa kipindi hiki cha siasa kushika hatamu kuelekea uchaguzi mkuu, mwezi ujao. Mimi kura yangu ni siri yangu. Leo mada yetu ni kwa nini mwanaume wako wa zamani awe sababu ya wewe kuvunja ndoa yako? Mada ambayo imekuja kutokana na ujumbe nilioandikiwa na msomaji wangu mmoja nami kujikuta katika msukumo wa kuiandika. Simu ndiyo iliyotibua...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI MITANDAO IVURUGE NDOA UHUSIANO WAKO?

NI Jumatatu nyingine murua Mungu anatukutanisha tena kwa neema zake katika kilinge chetu cha XXLove kujuzana kuhusu maisha ya uhusiano.Wiki iliyopita tulijadili namna ambavyo huwezi kuyaepuka mapenzi kwa sababu ya maumivu uliyowahi kuyapata au unayapata ila utapumzika kwa muda tu. Leo nakukaribisha kwenye mada tamu inayohusu matumizi na mapokeo mabovu ya mitandao ya kijamii kama mada inavyojieleza.Kumekuwa na wimbi kubwa la watu...

 

10 years ago

GPL

NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2

Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu. Mada ambayo tulianza kuijadili wiki iliyopita, ilikuwa ni nini cha kufanya unapogundua kuwa mumeo amezaa mtoto nje ya ndoa. Tuliangalia mfano wa dada yetu mmoja ambaye alieleza kisa chake jinsi mumewe alivyozaa mtoto nje ya ndoa kiasi cha kumfanya ashindwe cha kuamua. Maoni yalikuwa mengi mno, nikushukuru msomaji wangu uliyeshiriki kutoa maoni yako. Nilichojifunza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke aliyefunga ndoa na mbwa london anatukumbusha nini?

Majuma mawili yaliyopita, habari za mwanamke wa London aliyeoana na mbwa wake aitwaye Sheba zilitangazwa na gazeti la Metro.

 

10 years ago

Vijimambo

NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2


Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu. Mada ambayo tulianza kuijadili wiki iliyopita, ilikuwa ni nini cha kufanya unapogundua kuwa mumeo amezaa mtoto nje ya ndoa.

Tuliangalia mfano wa dada yetu mmoja ambaye alieleza kisa chake jinsi mumewe alivyozaa mtoto nje ya ndoa kiasi cha kumfanya ashindwe cha kuamua. Maoni yalikuwa mengi mno, nikushukuru msomaji wangu uliyeshiriki kutoa maoni yako.

Nilichojifunza na ambacho nataka na wewe msomaji wangu, ambaye una tatizo kama hili...

 

10 years ago

GPL

NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?

Nianze kwa kumshukuru Mungu ambaye ameniweka hai mpaka siku hii ya leo, tunapokutana tena kwenye uwanja wetu huu kujuzana, kujadiliana, kuelimishana na kuzungumzia ishu mbalimbali zinazohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka kuzungumza na wewe mama, dada, shangazi au mwanamke ambaye upo kwenye uhusiano wa kudumu, nikimaanisha umeolewa. Je, umewahi kugundua, kuhisi au kuambiwa kwamba mumeo mliyeishi pamoja kwa kipindi kirefu,...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NI KIASHIRIA CHA NINI?-2

KUVIMBA kwa kuta za uke kutokana na kushambuliwa na fangasi (candida albicans ) au bakteria. Kuta hizi huanza kuwa na vijitundu vidogo vidogo na kadiri muda unavyokwenda bila kutibiwa vitundu hivi huongezeka ukubwa na kuwa kama vidonda na hatimaye kuta za uke kuanza kumomonyoka na hali hii huondoa kabisa hamu ya kushiriki tendo. Matatizo ya shingo ya kizazi (cervical incompetence) kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani