Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera Mufti Zuberi, kila la heri katika kazi

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemthibitisha Abubakar Zuberi kuwa Mufti Mkuu baada ya kupata kura 310 katika mkutano uliofanyika Alhamisi mjini Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MUFTI MKUU WA TANZANIA,SHEKH, ABUBAKARI ZUBERI AZUNGUMZIA AJALI YA MSIKITI WA MAKKA

 Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh, Abu Bakari Zuberi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya  kutokea kwa tukio la ajali ya kuanguka kwa mashine ya ujenzi na kuangukia Jengo la Msikiti wa Makka nchini Saudi Arabia na kusababisha vifo vya watu mbalimbali. Mufti Mkuu wa Tanzania. Shekh, Abu Bakari Zuberi (kushoto) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani leo Jijini Dar es Salaam.( Picha na Emmanuel Massaka)

 

9 years ago

GPL

MUFTI MKUU WA TANZANIA, SHEKH, ABUBAKARI ZUBERI AZUNGUMZIA AJALI YA MSIKITI WA MAKKA

Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh, Abu Bakari Zuberi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya  kutokea kwa tukio la ajali ya kuanguka kwa mashine ya ujenzi na kuangukia Jengo la Msikiti wa Makka nchini Saudi Arabia na kusababisha vifo vya watu mbalimbali. Mufti Mkuu wa Tanzania. Shekh, Abu Bakari Zuberi (kushoto) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani leo Jijini Dar es… ...

 

9 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY

 Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally  akiongea na mamia ya Waislamu waliojitokeza kumkaribisha rasmi makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa jioni.  Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya kumkaribisha rasmi Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally   makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri 2014

HERI ya mwaka mpya msomaji wa safu hii ya Busati, ambayo leo itakuwa ni ya kwanza katika mwaka huu 2014. Awali ya yote, napenda kuwapongeza wote ambao Mwenyezi Mungu ametujalia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Kalenga

HATIMAYE tambo na vijembe vya kisiasa vilivyotawala kwa takriban mwezi mmoja katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, vitamalizika kesho wakati wananchi wa jimbo hilo watakapojitokeza kupiga kura. Uchaguzi huo mdogo...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga: Ngassa kila la heri

Pg 32, NgassaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemtakia kila la heri aliyekuwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa, baada ya kupata ulaji nchini Afrika Kusini.
Ngassa jana ameingia mkataba wa miaka minne kuichezea timu Free State Stars, inayocheza Ligi Kuu nchini humo, baada ya kufuzu majaribio na kukabidhiwa jezi rasmi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, alisema ni jambo la kujivunia kwa klabu kutoa mchezaji kucheza soka la kulipwa la kimataifa na...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kila la heri wabunge Bunge la 10

BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linamaliza muda wake wa kikatiba leo kwa kuvunjwa na Rais Jakaya Kikwete mjini Dodoma baada ya kudumu kwa takriban miaka mitano.

Leo itakuwa siku ya mwisho kwa wabunge kadhaa kuwapo mjini Dodoma wakiwa na wadhifa huo wa uwakilishi wa wananchi, kwani wote sasa wanalazimika kwenda majimboni kutetea nafasi hizo.

Ni kipindi kigumu ndani ya mioyo ya wengi lakini kwa wanaofahamu kwamba cheo ni dhamana, hiki ni kipindi muhimu kwao kujipima...

 

10 years ago

Mwananchi

Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo

Jumatatu ya Septemba 22, Tamasha la 33 la Sanaa la Bagamoyo litaanza, likiratibiwa na Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo, ikiwa ni sehemu ya kuonyesha vipaji walivyozalisha kwa mwaka huu, lakini pia ni msimu wa burudani na furaha kwa wakazi wa Bagamoyo na vitongoji vyake.

 

9 years ago

Mwananchi

Kila la heri wanafunzi darasa la saba

Wanafunzi wa darasa la saba nchini, leo wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, huku wakiwa na shauku kubwa kufanya mtihani huo kwa kutumia mfumo mpya wa ufanyaji na usahihishaji wa mitihani ambao ulianza kutumika nchini miaka mitatu iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani