Hongera Mufti Zuberi, kila la heri katika kazi
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemthibitisha Abubakar Zuberi kuwa Mufti Mkuu baada ya kupata kura 310 katika mkutano uliofanyika Alhamisi mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMUFTI MKUU WA TANZANIA,SHEKH, ABUBAKARI ZUBERI AZUNGUMZIA AJALI YA MSIKITI WA MAKKA
9 years ago
GPLMUFTI MKUU WA TANZANIA, SHEKH, ABUBAKARI ZUBERI AZUNGUMZIA AJALI YA MSIKITI WA MAKKA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY
![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8enGlbnI53k/VfOUblTUsuI/AAAAAAAH4IU/fq4Xkvz4R0E/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Kila la heri 2014
HERI ya mwaka mpya msomaji wa safu hii ya Busati, ambayo leo itakuwa ni ya kwanza katika mwaka huu 2014. Awali ya yote, napenda kuwapongeza wote ambao Mwenyezi Mungu ametujalia...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Kila la heri Kalenga
HATIMAYE tambo na vijembe vya kisiasa vilivyotawala kwa takriban mwezi mmoja katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, vitamalizika kesho wakati wananchi wa jimbo hilo watakapojitokeza kupiga kura. Uchaguzi huo mdogo...
10 years ago
Mtanzania13 May
Yanga: Ngassa kila la heri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemtakia kila la heri aliyekuwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa, baada ya kupata ulaji nchini Afrika Kusini.
Ngassa jana ameingia mkataba wa miaka minne kuichezea timu Free State Stars, inayocheza Ligi Kuu nchini humo, baada ya kufuzu majaribio na kukabidhiwa jezi rasmi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, alisema ni jambo la kujivunia kwa klabu kutoa mchezaji kucheza soka la kulipwa la kimataifa na...
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Kila la heri wabunge Bunge la 10
BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linamaliza muda wake wa kikatiba leo kwa kuvunjwa na Rais Jakaya Kikwete mjini Dodoma baada ya kudumu kwa takriban miaka mitano.
Leo itakuwa siku ya mwisho kwa wabunge kadhaa kuwapo mjini Dodoma wakiwa na wadhifa huo wa uwakilishi wa wananchi, kwani wote sasa wanalazimika kwenda majimboni kutetea nafasi hizo.
Ni kipindi kigumu ndani ya mioyo ya wengi lakini kwa wanaofahamu kwamba cheo ni dhamana, hiki ni kipindi muhimu kwao kujipima...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Kila la heri wanafunzi darasa la saba