Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongereni, kazeni buti, kazi kubwa

Tunachukua nafasi hii kuwapa hongera Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kusema kweli uteuzi wao umezingatia uwakilishi mpana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hongereni Azam FC, lakini mbele kuna kazi

Naingia tena kwenye ulingo huu wa hoja kuzungumzia mambo yetu yanayotuhusu ya michezo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

11 years ago

Habarileo

‘Kazi kubwa ya wapinzani ni kutoa matusi’

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema tofauti iliyopo kati ya CCM na vyama vingine ni kwamba chama hicho tawala, kinasikiliza changamoto zinazowakabili wananchi na kuzifanyia kazi huku wapinzani kazi yao kubwa, ikiwa ni kutoa lugha za matusi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashilila: Kazi Bunge la Katiba si kubwa

KATIBU wa Bunge Thomas Kashililah ameelezea sababu za kuwepo kwa tofauti ya fedha za bajeti kati ya Bunge la Katiba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Wajumbe NEC wana kazi kubwa

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete jana alifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho huku akikiri kuwa “wajumbe wana kazi kubwa”.

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.

Msanii...

 

11 years ago

Habarileo

Kigwangalla: Ni makosa kubeza kazi kubwa iliyofanywa na CCM

Dk Hamisi Kigwangalla MBUNGE wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla amewataka Watanzania kutokejeli utendaji na kazi kubwa inayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake katika kutekeleza Ilani kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo, kwa madai kuwa si viongozi wote walio ndani ya “Boti ya CCM” ni wabovu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...

 

10 years ago

Habarileo

TRA kukaza buti kuipatia serikali fedha

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imedhamiria kufikia malengo yake katika ukusanyaji wa kodi ili kuiwezesha serikali kufikia mahitaji yake ya Sh trilioni 22.3 iliyojiwekea kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2015/2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani