HOSPITALI YA MIREMBE WATAKIWA KUTEMBEA PAMOJ
![](https://1.bp.blogspot.com/-PXBz1Up1AQo/XmTjuUGW-YI/AAAAAAALh70/XaFYuQKavy0h5FzWDhi1U3g4tmEw11c2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200307-WA0315.jpg)
Na WAMJW-DOM
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo yaJamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula amewataka watumishi na uongozi wa Hospitali ya Mirembe kuhakikisha wanatembea pamoja kwa kudumisha ushirikiano baina yao ili kuleta mabadiliko chanya ikiwemo kuboresha huduma zitolewazo na kuboresha stahiki za watumishi katika hospitali hiyo.
Dkt. Chaula amesema hayo jana wakati alipofanya ziara ya kutembelea Hospitali ya Mirembe na kufanya mazungumzo na Watumishi ili kujadiliana namna gani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Cc0InBfyVJ0/XvebnuK01AI/AAAAAAALvtY/oRePEI_VlPUZGmXcpqvno2DNn6mUqo-CQCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Mirembe yaboresha utoaji wa huduma za afya
Huduma kuanza saa 1:00 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imefanya mabadiliko katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje, ambapo muda wa kuanza kutoa matibabu ni saa moja asubuhi badala ya saa mbili asubuhi.
Lengo la uongozi wa hospitali kufanya mabadiliko hayo ni kuboresha huduma za afya ili kuwezesha watu mbalimbali kupata huduma za matibabu mapema zaidi na kwa wakati.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili...
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWG5yeFdaOt05mc8tXD45xIG3zL4e0DVcngHrHbjqdAxUG3H8Sl*vAg9DOTv-yxWQPQPsRHCMP1sM1meN3idFD8/Msaniii.jpg?width=650)
MSANII ALEWA ASHINDWA KUTEMBEA
9 years ago
GPL28 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbhQaV8XiyQZ457R5ITZ-WlGOepPkGsjBbT8r1P*gqQ69M7Ivvs-zcqvo-80N8FupVJxcF3LvPk3nhmoCrstgbxd/makondanaKajala.gif)
DC MAKONDA AFUNGUKA KUTEMBEA NA KAJALA
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Je umejaribu kutembea juu ya waya ?
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mbwa avalishwa na kutembea kama binadamu