Hospitali zashindwa kukopa mabilioni NHIF
WAKATI vituo vya utoaji huduma katika sekta ya afya nchini, vikikabiliwa na hali duni ya miundombinu katika utoaji huduma, vituo vingi vimeshindwa kukopa mabilioni ya Shilingi kwa ajili ya kuboresha huduma, yanayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yakabidhi mashuka hospitali ya wilaya
Akikabidhi mashuka hayo kwa uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kibondo, meneja wa NHIF mkoa kigoma,Elius Odhiambo alisema kuwa kutolewa kwa mashuka hayo ni sehemu ya mpango wa mfuko huo katika kuboresha utoaji huduma katika sekta ya afya.
Odhiambo alisema kuwa mashuka hayo yaliyotolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s72-c/1.jpg)
NHIF yatoa msaada wa mashuka Hospitali ya Vijibweni
![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--NxqcyVw2PQ/VD6IdaYL6gI/AAAAAAAGqqM/jGhCnq4yR5Q/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HkPURBFyqkM/VD6IdhK0EOI/AAAAAAAGqqI/dE3deGhes5w/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Jul
NHIF yapunguza uhaba wa mashuka hospitali ya Singida
HOSPITALI ya Mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mashuka hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi wakati wote wanapokuwa wamelazwa hospitalini hapo.
10 years ago
MichuziNHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA 120 HOSPITALI YA MANISPAA YA TEMEKE
9 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA WA MASHUKA 100 HOSPITALI YA MJI WA BABATI
10 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA BABATI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YJZkmYUq5Js/VnJkToEuN-I/AAAAAAAAwbg/eu1qIiPjQP0/s72-c/2.jpg)
NHIF YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA MKOPO WALIOIPATIA HOSPITALI YA MKOANI WA SINGIDA
Hospitali hiyo ilichukua mkopo wa Shilingi Milioni Mia Tano kutoka NHIF kwa ajili ya Ununuzi wa vifaa Tiba vya hospitali hiyo.
Akizungumza baada ya kukagua vifaa hivyo, Mhando amesema ameridhiswa na matumizi ya mkopo huo kwani umefanya kazi iliyokusudiwa.
Amesema NHIF itaendelea kushirikiana na uongozi wa mkoa...
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yasaidia ujenzi wa wodi ya watoto ya hospitali teule ya Dr. Artiman,Sumbawanga
![](https://2.bp.blogspot.com/-1MeQ6K3BAXE/VGTGqOmOsqI/AAAAAAAGxAM/xdhBfZ365rw/s640/DV6A0028.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-sqnD9M7ijxM/VGTGrF_VTMI/AAAAAAAGxAU/N-mD3TF7QBU/s640/DV6A0084.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFGLjZuIs8c/VGTGqCIOQeI/AAAAAAAGxAE/SjkDNerhKic/s640/DV6A0031.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...