Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotel ya Blue Peal yafungwa, yadaiwa mil 639/-

Baadhi ya Wafanyakazi wa majembe Auction Mart wakichukua viti Hoteli ya Blue Pearl

Baadhi ya Wafanyakazi wa majembe Auction Mart wakichukua viti Hoteli ya Blue Pearl

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

KAMPUNI ya Udalali ya Majembe Auction Mart, imeifunga Hoteli ya Blue Pearl ya jijini Dar es Salaam na kutoa vitu vyote nje kwa madai kwamba mmiliki wake anadaiwa kodi Dola za Marekani 380,000 ambazo ni  sawa na Sh milioni 635.9.

Tukio  hilo, limetokea jana ambapo wafanyakazi wa Majembe waliingia hotelini hapo wakiwa na gari la fuso lenye namba za usajili T389 AGG kwa ajili ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hoteli ya Blue Pearl yafungwa kwa deni

 Hoteli ya Blue Pearl ya jijini hapa imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya mmiliki wake kushindwa kulipa kodi ya pango ya Dola za Marekani 3,800,000 sawa na Sh6 bilioni ambazo alilimbikiza kwa miaka mingi.

 

10 years ago

CloudsFM

HOTELI YA BLUE PEARL YAFUNGWA KWA KUDAIWA MADENI

Hoteli ya Blue Pearl ya jijini,Dar imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya mmiliki wake kushindwa kulipa kodi ya pango ya Dola za Marekani 3,800,000 sawa na Sh6 bilioni ambazo alilimbikiza kwa miaka mingi. Jana mchana wafanyakazi wa Kampuni ya Udalali ya Majembe walifika hotelini hapo na kuanza kutoa nje samani zilizokuwa ndani ya hoteli na kuzipakia kwenye lori lililokuwa limepaki nje ya lango kuu la kuingilia. Hali hiyo ilisababisha kusitishwa kwa huduma zilizokuwa zikitolewa na wateja...

 

10 years ago

TheCitizen

Blue Pearl hotel closed

Services at the Blue Pearl hotel in Dar es Salaam’s Ubungo suburb have been affected after the owner of the business allegedly failed to pay rent amounting to about Sh6 billion ($3,800,000).

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yadaiwa zaidi ya Sh. Mil. 872 wilayani Mbarali

Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanaidai Serikali zaidi ya Shilingi Milioni 872 za malimbikizo ya stahiki mbalimbali ikiwemo Mishahara. Takwimu zilizotolewa na uongozi wa Chama cha Walimu CWT wilayani humo zinaonesha kuwa sehemua ya madai hayo inawahusu walimu wastaafu na baadhi yao wameshafariki.

Waalimu hao wamesema kucheleweshewa kulipwa madeni yao kunasababisha malalamiko ya marakwa mara kutokana na kuahidiwa kulipwa madani yao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wyndham Hotel Group Opens Hotel in Dar es Salaam, First Hotel in Eastern Africa

150421w

First hotel on African continent to be operated by Wyndham Hotel Group under management contract, complementing the company’s existing franchised portfolio

 Wyndham Hotel Group (http://www.wyndhamworldwide.com), the world’s largest hotel company based on number of hotels and one of three hospitality business units of Wyndham Worldwide (NYSE: WYN), today announced the opening of the 139-room Ramada® Resort Dar es Salaam in Tanzania.

Complementing Wyndham Hotel Group’s existing portfolio of...

 

10 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hotel ya DoubleTree By Hilton ya Jijini Dar yafanya usafi wa mazingira yanayoizunguka hotel hiyo

DSC_0021

 Mkurugenzi mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania, Bw.Ian Mclachan (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika ufukwe wa Bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree huku akishirikiana bega kwa bega na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Hoteli ya Double Tree By Hilton, Bw. Yehia Elmansoury (wa kwanza kushoto).(Picha zote na Geofrey Adroph wa pamoja blog).  Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Double Tree by Hilton, Bw. Florenso Kirambata(kushoto) akifanya usafi wa...

 

11 years ago

Michuzi

INTRODUCING LATEST ADDITION TO DAR'S MID-MARKET HOTEL PORTFOLIO: SEDUTA HOTEL AT MBEZI SALASALA

We offer a choice of comfortable rooms and great rates. More than 20 well appointed and spacious rooms with double-gazed windows.  Conference room are available for various functions such as seminars, cocktail parties, product launches etc. Garden Bar Located at the Garden side of the Hotel.  We are located at the Mbezi – Salasala Area.   We are the latest addition to Dar es Salaams mid-market hotel portfolio.   In order to suit your budget we have decided to offer you subsidized rates...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani