Hotel ya Blue Peal yafungwa, yadaiwa mil 639/-
Baadhi ya Wafanyakazi wa majembe Auction Mart wakichukua viti Hoteli ya Blue Pearl
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Udalali ya Majembe Auction Mart, imeifunga Hoteli ya Blue Pearl ya jijini Dar es Salaam na kutoa vitu vyote nje kwa madai kwamba mmiliki wake anadaiwa kodi Dola za Marekani 380,000 ambazo ni sawa na Sh milioni 635.9.
Tukio hilo, limetokea jana ambapo wafanyakazi wa Majembe waliingia hotelini hapo wakiwa na gari la fuso lenye namba za usajili T389 AGG kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Hoteli ya Blue Pearl yafungwa kwa deni
10 years ago
CloudsFM25 Sep
HOTELI YA BLUE PEARL YAFUNGWA KWA KUDAIWA MADENI
Hoteli ya Blue Pearl ya jijini,Dar imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya mmiliki wake kushindwa kulipa kodi ya pango ya Dola za Marekani 3,800,000 sawa na Sh6 bilioni ambazo alilimbikiza kwa miaka mingi. Jana mchana wafanyakazi wa Kampuni ya Udalali ya Majembe walifika hotelini hapo na kuanza kutoa nje samani zilizokuwa ndani ya hoteli na kuzipakia kwenye lori lililokuwa limepaki nje ya lango kuu la kuingilia. Hali hiyo ilisababisha kusitishwa kwa huduma zilizokuwa zikitolewa na wateja...
10 years ago
TheCitizen26 Sep
Blue Pearl hotel closed
9 years ago
StarTV11 Sep
 Serikali yadaiwa zaidi ya Sh. Mil. 872 wilayani Mbarali
Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanaidai Serikali zaidi ya Shilingi Milioni 872 za malimbikizo ya stahiki mbalimbali ikiwemo Mishahara. Takwimu zilizotolewa na uongozi wa Chama cha Walimu CWT wilayani humo zinaonesha kuwa sehemua ya madai hayo inawahusu walimu wastaafu na baadhi yao wameshafariki.
Waalimu hao wamesema kucheleweshewa kulipwa madeni yao kunasababisha malalamiko ya marakwa mara kutokana na kuahidiwa kulipwa madani yao...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wyndham Hotel Group Opens Hotel in Dar es Salaam, First Hotel in Eastern Africa
First hotel on African continent to be operated by Wyndham Hotel Group under management contract, complementing the company’s existing franchised portfolio
Wyndham Hotel Group (http://www.wyndhamworldwide.com), the world’s largest hotel company based on number of hotels and one of three hospitality business units of Wyndham Worldwide (NYSE: WYN), today announced the opening of the 139-room Ramada® Resort Dar es Salaam in Tanzania.
Complementing Wyndham Hotel Group’s existing portfolio of...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Hotel ya DoubleTree By Hilton ya Jijini Dar yafanya usafi wa mazingira yanayoizunguka hotel hiyo
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-khYkRzwsyAQ/UydKWMIyI9I/AAAAAAAFUSc/x8IDNdURn9g/s72-c/night-seduta.jpg)
INTRODUCING LATEST ADDITION TO DAR'S MID-MARKET HOTEL PORTFOLIO: SEDUTA HOTEL AT MBEZI SALASALA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!