Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOTUBA YA SHIGONGO YAWAKUNA WAHITIMU MLIMANI SCHOOL OF PROFESSION

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers  Eric Shigongo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo akiongoza maandamo maalumu yaliyoandaliwa na chuo hicho, kushoto ni Mkuu wa Chuo, Hassan Ngoma. Shigongo akihojiwa na mwandishi wa chuo hicho cha Professional FM, Shikunzi Haonga ambaye ni mkuu wa kitengo idara ya habari mawasiliano kwa umma (hayupo pichani) ndani ya studio iliyopo chuoni hapo.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Hotuba ya JK yawakuna wajumbe NEC

Na Khamis Mkotya, Dodoma

BAADHI ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), wameelezea kufurahishwa na hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.
Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu mjini hapa juzi, Rais Kikwete alisema salama ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu, ni kuteua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wananchi.
Rais Kikwete aliwaagiza viongozi wa chama hicho kuzingatia sifa na vigezo na mwisho wa siku kuteua wagombea...

 

11 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO APELEKA KAMPENI YA HOMA YA INI ALPHA HIGH SCHOOL

Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akitoa elimu juu ya ugonjwa wa Homa ya Ini kwa wanafunzi wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari Alpha. ...Akieleza dalili za ugonjwa wa Homa ya Ini.…

 

9 years ago

GPL

MLIMANI SCHOOL OF PROFESSIONAL STUDIES

Wanafunzi wapongeza ofa punguzo la ada Mwandishi wetu WANAFUNZI mbalimbali wanaojitokeza kujiunga na Chuo cha Mlimani School of Professional Studies cha jijini Dar es Salaam, kinachotoa ofa ya punguzo la ada wamepongeza hatua hiyo. Wakizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, wanafunzi hao walisema mpango maalum wa kuwasomesha kwa ada nafuu uliofanywa na chuo hicho umefufua upya matumaini yao ya kupata elimu na hatimaye ajira. ...

 

9 years ago

Vijimambo

94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA


Wahitimu wa elimu ya msingi katika shule ya kimataifa ya Shinning School  Songwe Mbeya wakiwa katika maandamano ikiwa ni sehemu ya kufurahia tukio hilo mwishoni mwa wiki mkoani hapa (Picha Jamiimojablog)




Wazazi wakiwa  katika nyuso za furaha baada ya watoto wao kuhitimu elimu ya msingi katika shule hiyo

MKurugenzi Mtendaji wa shule ya kimataifa ya Shinning School iliyopo nje kidogo ya mji wa mbeya eneo la songwe kiwandani Amani Kajuna ambaye pia ni Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Mbeya akizungumza...

 

9 years ago

Michuzi

WAHITIMU ADILI HIGH SCHOOL WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Adili High School,Moshono Jijini Arusha,Profesa Raymond Mosha akiangalia kazi zilizoandaliwa na wanafunzi wa masomo ya Sayansi ikiwa ni sehemu ya mahafali ya kidato cha Nne.Wazazi wa wanafunzi wanaotarajia kuhitimu Kidato cha Nne wakifatilia kazi za ubunifu zilizoandaliwa kwaajili ya kuonesha uwezo wao katika masomo ya Sayansi kwenye  Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Adili High School.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI 94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA


Wahitimu wa elimu ya msingi katika shule ya kimataifa ya Shinning School  Songwe Mbeya wakiwa katika maandamano ikiwa ni sehemu ya kufurahia tukio hilo mwishoni mwa wiki mkoani Mbeya.
Mkurugenzi Mtendaji wa shule ya kimataifa ya Shinning School iliyopo nje kidogo ya mji wa mbeya eneo la songwe kiwandani Amani Kajuna ambaye pia ni Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Mbeya akizungumza katika hafla hiyo.Mmoja wa wanafunzi waliohitimu elimu ya msingi  2015  shule ya kimataifa ya Shinning School ...

 

5 years ago

Michuzi

KENYA's CMG ARGWINGS KHODEK-: A DOYEN OF LEGAL PROFESSION & EAST AFRICA'S FIRST BLACK LAWYER


By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. Introduction

The late CLEMENT MICHAEL GEORGE ARGWINGS  KHODEK , popularly known as "CMG", made history in 1949 when he became the First Black Lawyer in East Africa. CMG, who died in a mysterious road accident on 29.1.1969, was a Kenyan citizen.

2. Birth Date & Place

CMG was born in 1923 in Nyanza, Kenya.

3. Education

CMG was sent to a local mission school and later to St Mary's school, Yala and St. Mary's College, Uganda where he sat his Cambridge School Certificate...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yawakuna wakazi wa Mbinga

WANANCHI katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, wamefurahishwa na hatua ya serikali katika matumizi ya fedha za ‘chenji ya rada’ kwa kununulia vifaa ili vitumike katika shule za msingi na sekondari, kwani vitasaidia kuongeza ufaulu kwa shule hizo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii

CAMPIX PRODUCTION

Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani