Serikali yawakuna wakazi wa Mbinga
WANANCHI katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, wamefurahishwa na hatua ya serikali katika matumizi ya fedha za ‘chenji ya rada’ kwa kununulia vifaa ili vitumike katika shule za msingi na sekondari, kwani vitasaidia kuongeza ufaulu kwa shule hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii
Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4bb-ZtqKLK8/U8q29P5ZOkI/AAAAAAAF3xU/-BJmBPb3-FM/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Mtanzania25 May
Hotuba ya JK yawakuna wajumbe NEC
Na Khamis Mkotya, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), wameelezea kufurahishwa na hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.
Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu mjini hapa juzi, Rais Kikwete alisema salama ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu, ni kuteua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wananchi.
Rais Kikwete aliwaagiza viongozi wa chama hicho kuzingatia sifa na vigezo na mwisho wa siku kuteua wagombea...
10 years ago
GPLHOTUBA YA SHIGONGO YAWAKUNA WAHITIMU MLIMANI SCHOOL OF PROFESSION
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Ngonjera ya wanafunzi wa shule ya Ketumbeine iliyowekwa Instagram na Terrence J yawakuna Wamarekani
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
UN, Serikali washukuru wakazi wa Singida kujimilikisha miradi ya maendeleo
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na mmoja wa watendaji wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida mara tu alipowasili kijiji cha Puma kukagua mradi wa ufugaji kuku wa kusaidia watu wanaoishi na VVU unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kupitia TACAIDS. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone.
Na Modewjiblog team, Singida
MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali khuduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Na. Georgina Misama – Maelezo
[DAR ES SALAAM] Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada...
9 years ago
StarTV18 Nov
Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.
Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.
Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakazi Rorya waishukuru Serikali ya awamu ya tano kuwapatia msaada
Wakazi wa vijiji vya Baraki na Kenyamsana wilayani Rorya mkoani Mara waishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia msaada wa mahindi tani elfu 25 baada ya kukumbwa na maafa ya mvua. Mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali ilisababisha mazao yao kuchukuliwa na maji na nyumba zaidi ya 170 kuezuliwa paa. Wananchi zaidi ya1,080 wa kijiji cha baraki na kenyamsana wilayani rorya wanao hitaji msaada wa chakula zaidi ya tani 50 za mahindi ili kupunguza tatizo la upungufu wa chakula,...