HUKUMU 18 ZATOLEWA KUHUSU MASHAURI YA KIJINSIA
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama, Chato
Mahakama ya Wilaya ya Chato imefanikiwa kutoa zaidi ya 18 zinazotokana na makosa ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia baada ya jamii kuwa na uelewa juu ya suala hilo na kuweka mikakati ya kutatua changamoto hiyo.
Akizungumza na Maofisa Habari wa Mahakama ya Tanzania, Juni 9, mwaka huu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mhe. Odira Amworo amesema mashauri yanayoongoza kusikilizwa mahakamani hapo ni vitendo vya ukatili wa kijinsia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kxqtWKdLFSI/XuUURPqk6rI/AAAAAAALtts/6roJXLAtE_IafPXMjw_cEcPXiYjPmQ8hACLcBGAsYHQ/s72-c/9ac150cf-dbd9-45e6-86fa-2ff8edbe4b58.jpg)
HUKUMU 12 ZAUHUJUMU UCHUMI ZATOLEWA SIMIYU KIPINDICHA MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxqtWKdLFSI/XuUURPqk6rI/AAAAAAALtts/6roJXLAtE_IafPXMjw_cEcPXiYjPmQ8hACLcBGAsYHQ/s640/9ac150cf-dbd9-45e6-86fa-2ff8edbe4b58.jpg)
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Simiyu na Mahakama ya Wilaya ya Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4e2b74cf-aa78-45ba-9ad4-44e541a3be2f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/52ac3bc2-1642-4ba0-bcba-d705c47c6874.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cd377bb8-1142-492f-94bb-568aef87b27a.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
10 years ago
GPLHUKUMU YA KESI YA KUBENEA KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA
9 years ago
StarTV26 Nov
Mahakama kuu Mwanza yatarajiwa kutoa hukumu Leo kuhusu Mwili Wa Mawazo
Mahakama kuu kanda ya Mwanza leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi namba 11 ya mwaka 2015 ambayo ni kesi ya polisi dhidi ya Charles Lugwiko baba mdogo wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema mkoa wa Geita Alphonce Mawazo.
Kesi hiyo ilifunguliwa mahakamani hapo kuiomba mahakama iwapatie haki zote za maziko ndugu wa marehemu waishio Mwanza kutokana na jeshi la polisi kuzuia msiba huo kufanyikia Mwanza kutokana na uwepo wa Ugonjwa wa kipindupindu.
Mapema jana majira...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H4wj_X4e5Hk/U5cfPQ6CUoI/AAAAAAAFpiU/ZdmwUYNHpvA/s72-c/1.+Hon.+Bernard+K.+Membe.jpg)
WAZIRI MEMBE AALIKWA LONDON KUHUDHURIA MKUTANO KUHUSU UKOMESHAJI WA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA KWENYE MIGORORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4wj_X4e5Hk/U5cfPQ6CUoI/AAAAAAAFpiU/ZdmwUYNHpvA/s1600/1.+Hon.+Bernard+K.+Membe.jpg)
Mwaliko huo unakuja kufuatia mchango mkubwa wa Tanzania katika kufanikisha kuwepo kwa Tamko la Umoja wa Mataifa linalohusu suala hilo (Declaration of Commitment...
11 years ago
Dewji Blog03 May
Wasichana 30 jijini Mwanza wapatiwa mafunzo ya siku tano kuhusu elimu ya ukatili wa kijinsia majumbani
Mkufunzi wa Masuala ya Kijinsia Bi. Tumaini Kyola akitoa mafunzo kwa kundi la Wasichana 30 ambao hawako mashuleni juu ya mbinu mbalimbali za kuelemisha jamii kuhusu masuala Ukatili wa Majumbani na wa kingono pia. Wasichana hawa wanategemewa kwenda kuwafundisha wasichana wenzao wa mitaani, kila mmoja amepewa lengo la kufikia wasichana 50.
Baadhi ya wasichana 30 wakiwa makini kufuatilia mafunzo waliokuwa wakipatiwa na mkufunzi wao (hayupo pichani), hili ni kundi la kwanza kwa wasichana...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s1600/unnamed+(40).jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Riadha:Sheria dhidi ya dawa zatolewa