Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hukumu ya Pistorius yaingia siku ya Nne

Usikilizaji wa hukumu ya Oscar Pistorius waingia siku ya Nne,huku upande wa mashitaka ukitaka afungwe jela

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Siku ya pili:Hukumu ya Pistorius

Mashitaka katika kesi ya Oscar Pistorius yamechambua kazi za kujitolea za mwanariadha huyo, katika siku ya pili ya kusikilizwa.

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA PISTORIUS YAENDELEA

Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake. Jaji Thokozile Masipa akisoma mapitio ya kesi ya Pistorious. MAPITIO ya hukumu ya kesi inayomkabili mwanariadha mlemavu, Oscar Pistorius wa Afrika Kusini ya kumuua mpenzi wake Reeva…

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAANZA

Oscar Pistorius akiwasili mahakamani jijini Pretoria. KESI inayomkabili mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius (27) ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp inatolewa hukumu leo jijini Pretoria na Jaji Thokosile Masipa. Matundu manne ya risasi zilizopigwa na Pistorius, ambapo tatu kati yake zilimpiga Reeva - mkononi, kichwani na kwenye paja. Tayari hukumu hiyo imeanza kusomwa na Jaji Thokosile Masipa  ikiwa ni baada...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAENDELEA

Oscar Pistorius akiwa amesimama ndani ya mahakama jijini Pretoria baada ya Jaji Thokosile Masipa kuwasili kwa ajili ya kusoma hukumu. Oscar Pistorius  akisikiliza hukumu yake.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius asubiri hukumu

Jaji Thokozile Masipa hii leo atatoa hukumu dhidi ya kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha Oscar Pistorius huko Afrika Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano yaingia siku ya 2 Malaysia

Maelfu ya watu wanashiriki katika siku ya pili ya maandamano ya kupinga serikali kwenye mji mkuu wa Malaysia Kuala Lumpur.

 

10 years ago

Mwananchi

Siku ya hukumu

Pamoja na maneno mengi yaliyosemwa, shutuma lukuki zilizotolewa na mbinu za kila aina kutaka kuzuia mjadala wa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL, leo ndiyo siku yake ya hukumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yaingia siku ya pili Burundi

Wanaharakati nchini Burundi wameendelea na maandamano wakipinga uteuzi wa Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu

 

10 years ago

Dewji Blog

Siku Ya Wajinga (April Fool) Na Hukumu Yake Kishari’ah

 

april-fools-day-banner. poa

 

Habari wasomaji wa mtandao huu wa Modewji blog, munaoendelea kuperuzi, Leo ni Aprili Mosi, ambapo kila mwezi wa nne tarehe moja kama ya leo Duniani kote watu mbalimbali huifaanya siku hii kama ni ya kutaniana na kufanya jambo la mzaha ama ujinga ambalo ufanywa kuanzia tarehe inapoanza hadi saa nne asubuhi.

Hata hivyo siku hii ya wajinga kwa kipindi hiki imezidi kuwa na nguvu hasa baada ya kuongezeka mitandao ya kijamii ambayo watu mbalimbali wanaooitumia kutumia wasaha wa kuposti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani